Kazi zote za Consultant ni wao wenyewe Tarura.
Value for money haiwezi kufanywa na client mwenyewe,lazima patakuwepo na hujuma among client staffs.
Na kama Kuna Mkandarasi,fahamu wenye kampuni ni sehemu ya watumishi au pengine Kuna uchepushaji wa funds kwenye mifuko ya waliowapatia Kazi.
Usimamizi makini hauwezi kufanyika iwapo wasimamiaji walipewa % fulani ya fedha za mradi husika.
Ni muhimu kushirikisha private consultants,hata kama mradi ni 100Mln, haiwezekani Mkandarasi awepo alafu Consultant asiwepo.
Consultant asiwe ni sehemu ya client,vivyo hivyo na Mkandarasi asiwe ni sehemu ya wenye Kazi.
Utaratibu wa ugawaji wa zabuni uangalie upya,ikiwezekana consulting firms zipewe mandate ya/kuwa sehemu ya evaluations team katika kandarasi husika.