Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Duhh.....[emoji15] [emoji15] [emoji15]Breaking news amepatikana amekufa
Maiti ipo city montuary
Sources Standard Kenya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duhh.....[emoji15] [emoji15] [emoji15]Breaking news amepatikana amekufa
Maiti ipo city montuary
Sources Standard Kenya
i wish aina za siasa za kenya zihamie kwetu aisee...ila shida zetu sisi ni waoga sana!
Sent using Jamii Forums mobile app
Au ni mkakati wa serikali ulikuwa?Na alitoa taarifa ya kutishiwa maisha
Upinzani walimkata aliyekuwepo, akawekwa huyu jamaa, ghafla akageuzia watu kibao kwa kutotoa ushirikiano. Ikawa hamna namna. Maana jamaa alijisifia kuwa kaweka locki (encryption) isiyoweza kuchezewaAu ni mkakati wa serikali ulikuwa?
Dah! Kumbe alijitakia kama jechaUpinzani walimkata aliyekuwepo, akawekwa huyu jamaa, ghafla akageuzia watu kibao kwa kutotoa ushirikiano. Ikawa hamna namna. Maana jamaa alijisifia kuwa kaweka locki (encryption) isiyoweza kuchezewa
mhh kwa siasa za Kenya zilivyo na tension kubwa huyu huenda ni marehem kbs!
Imethibitishwa kakutwa amefarikia rather ameuwawa.Umejuaje na ndio ilivyo[emoji16][emoji16][emoji16][emoji21][emoji21][emoji1324]
Umejuaje na ndio ilivyo[emoji16][emoji16][emoji16][emoji21][emoji21][emoji1324]