Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
naunga mkonoHaiwezekani Taa ziwe zinazima uwanjani mara kwa mara , hii ni dhahiri kishashindwa kuusimamia uwanja huo , kwanza ni aibu kwa Taifa .
Nakumbuka Meneja huyu aliletwa na Mchengerwa , hatujui hata kama ana vigezo vyovyote vya kuwa meneja hata wa Bar ya Kisuma Mbagala .
Mnatuletea Mameneja wa koneksheni mwisho wa siku tunadhalilika
Poor you !
HakikaSiyo meneja tu, mpaka mwandisi wa umeme, wasaidizi timua wote. Tuanze upya.
Raisi angeachia tuu ngazi maana hawa ndio mawakala ama wasaidizi wake...Haiwezekani Taa ziwe zinazima uwanjani mara kwa mara , hii ni dhahiri kishashindwa kuusimamia uwanja huo , kwanza ni aibu kwa Taifa .
Nakumbuka Meneja huyu aliletwa na Mchengerwa , hatujui hata kama ana vigezo vyovyote vya kuwa meneja hata wa Bar ya Kisuma Mbagala .
Mnatuletea Mameneja wa koneksheni mwisho wa siku tunadhalilika
Poor you !
Raisi angeachia tuu ngazi maana hawa ndio mawakala ama wasaidizi wake...
Taifa kuwa na viongozi wasiojielewa ni aibu kwa kiongozi aliowateuwa
Kaimu Mkurugenzi wa Michezo.....Hivi Ally Mayai anacheo gani?
Shukrani mkuuKaimu Mkurugenzi wa Michezo.....