Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Haiwezekani Taa ziwe zinazima uwanjani mara kwa mara , hii ni dhahiri kishashindwa kuusimamia uwanja huo , kwanza ni aibu kwa Taifa .
Nakumbuka Meneja huyu aliletwa na Mchengerwa , hatujui hata kama ana vigezo vyovyote vya kuwa meneja hata wa Bar ya Kisuma Mbagala .
Mnatuletea Mameneja wa koneksheni mwisho wa siku tunadhalilika
Poor you !
Nakumbuka Meneja huyu aliletwa na Mchengerwa , hatujui hata kama ana vigezo vyovyote vya kuwa meneja hata wa Bar ya Kisuma Mbagala .
Mnatuletea Mameneja wa koneksheni mwisho wa siku tunadhalilika
Poor you !