Meneja wa WCB, Sallam SK atangaza kuachia ukweli wote muda mfupi ujao

Richard R Monyo

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2018
Posts
242
Reaction score
265
Kwenye ukurasa wake wa instagram amesema wcb__wamekataa__kuwakaa

Je ana maana gani?



UPDATES


 
AISEE NAUONA MWISHO WA CLOUDS MEDIA.TATIZO SASA ANAPAMBANA NA WATU WENYE PESA NA MIZIZI PIA.SIO KIPINDI CHA HARAKATI ZA KINA VINEGA NA ANTIVIRUS
 
Najua sallam anajua diamond katengenezwa na hiyo media ata aseme ukweli kiasi gani clouds watabaki clouds najua sallam anategemea umaarufu wa diamond ajua anaweza yeye akawa anguko la diamond hii ni media ya pili kubwa wanakuwa na bifu nayo hiyo wasafi fm sijui wasafitv aiwezi kuwa mnazi mara moja tu ajue kuna siasa za biashara kuna media shindani azitakuwa upande wake media zote zitakuwa zinafanya siasa za biashara apo ndio anguko lao litakapokuja diamond anatakiwa ajue na timu yake kuna muda wa kukaa kimya na kufanya biashara ya muziki wake mafanikio uja na kiburi yanapofika mahali fulani kiburi cha mafanikio kikitumika vibaya kinaweza kusababisha anguko lako kwenye maisha usitegemee kuwa kwa kuwa fulani ana ukaribu na fulani itakuwa rais kwetu sisi kufika sehemu fulani sio kwenye biashara za ushindani dunia ya sasa kutegemea viongozi fulani
 
Mwisho wa ubaya aibu...! haiwezekani kila siku watu wana lalamika juu yako... mbona hawa lalamikii wengine...? wewe nani? maisha hayapo hivyo....

ukiona kusaga ana husishwa na vitu vizuri vyote vilivyo nyuma ya kusaga na sio ruge lazima ujiulize kuna nini?
 
HAHAHAAA MNAOMBEAGAAAAAAAA AANGUKE NI BASI TU MNASHINDWA,KWAN NI MARA YA KWANZA HAYA MAMBO KUTOKEA

MNA HOOOOFU WAKATI WENYEWE HAWANA HOFU,JUZI TU MWEMBE YANGA WAMEWAITA WATU HAKUNA ALIYEWASAIDIA,ACHENI UNYONYAJI NA HAO MEDIA BWANYENYE ZAKO

UNAPEEENDA KUONA WATU WAKIOMBA MSAMAHA KAMA KINA RUBY NA VINGINE VITOTO VITOTO

YANI WATU WAPAMBANE KUJIKUZA BASI NYI NDO MJIKUTE MKIJIONA MMEMKUZA MTU
BROTHER HII NI NGUVU YA UMMA WANAENDA KUKUTANA NAYO HAO CLOUDS, HAWATOAMINI


WANAONA KAMA WATAIBIWA WATANGAZAJI NDO MANA WAMELETA HII TIFU.
 
Nisaidieni kinacho endelea hapo yao wcb na clouds nini kinaendelea na huyo anaetaka kutoa makala ni nani?
 
Hawa akina Sallam and the Group wanajiona wao kuwa na Bashite ni kama vile ndio Mungu wao.
wakina sallam wanakosea sana, wanashindwa kujua makonda ipo siku hatakuwa mkuu wa mkoa lakini clouds itaendelea kuwepo! ila haya mambo yalimshindaga pia sugu kipindi kile cha antivirus akiwa na vinega wake, nakumbuka kwenye show yao ya antovirus pale viwanja vya ustawi wa jamii alipta support hadi kutoka chadema
 
ina weza endelea kuwepo na ikawa kama tbc fm... kila mtume na zama zake... kama efm imekuja kwa speed kali hivi... kuna mtu aliwahi fikiria kuwa kuna mshindani atakuja kutokea wa namna hii...? hacheni kukariri maisha.... kampuni huwa zina firisika pia hakuna kinacho weza kuishi milele...
 
Nafikiri ni kuhusu clous,hawa jamaa clouds shida sana....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…