Mengi: From bedroom to boardroom with $550m


Usiwe unakurupuka na kuanza kuandika kabla ya kusoma thread inasema nini. Umeambiwa alipata scholarship ya kwenda kusoma Scotland, sasa wewe unauliza aliwezaje kwenda Uingereza kama alikua maskini.
 
Usiwe unakurupuka na kuanza kuandika kabla ya kusoma thread inasema nini. Umeambiwa alipata scholarship ya kwenda kusoma Scotland, sasa wewe unauliza aliwezaje kwenda Uingereza kama alikua maskini.

alafu uyu mzee ana CPA nazani kaitendea haki.
 

Umechanganya mambo mengi sana. Huyo unayesema alikuwa baba yake siye. Alikuwa ni kakayake akiitwa Eritila Abrahama Mengi, alifariki 2012. Alikuwa tajiri naye kwa kujihusisha na biashara ya kushona nguo.

Sukari ilianza kuadimika zaidi miaka ya 80 na siyo 1973 kama ulivyosema. Kumbuka RTC ilianzishwa kutokana na kuvunjwa STC (State Trading Corporation au Saidia Tujenge Chetu) ambayo iliundwa mwak 1967.

Kwa kweli enzi za zamani mambo ya Tenda hayakuwepo sana, hasa wakati wa utawala wa Nyerere. Kila wizara au shirika la umma liliwajibika kununua kutoka shirika lingine la serikali. Mashirika ya umma yalitapakaa nchi nzima yakiuza kila kitu labda tu mchicha na nyanya.

Mengi alipata msaada mkubwa kutokana na ule mpango wa Import Support Scheme wa EEC. Wale wa Treasury nadhani wanaijua hii scheme.
 
Mbona hawamulize jinsi anavowalipa vibarua kwenye migodi yake . 2500/= per day halafu watu wanamsifia. Eti ni mzawa ..
 

ishu ya kuajiri wahindi hata mo kawajaza kwenye kampuni zake
 

Niseme tu kwenye kuajiri watu wa nje - Wahindi, n.k. Tatizo hili tutaendelea kuwa nalo hadi wakati Watanzania watakaanza kuwa waaminifu na wachapa kazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…