Mengi: Kwanini nimemuoa K-lynn

Yeye ameulizwa na kujibu aliyojibu kwa hivi ukweli anoa yeye sisi hatuna haja ya kuchokonoa zaidi.
Anavyofanya ni mazuri kwa mujibu wa Mengi. kama lengo lake ni tofauti ni yeye anajua kuna haja gani sisi kulazimisha tunayofikiri.
halafu kuwafahamu watu ni kwa njia ya kuishi nao katika kazi au shughuli yoyote na si lazima kwa namna ambayo wengine wanasema. kama sisi ni great thinkers haya ya ndani ya mioyo ya watu tuyaache.
 
kyln sahiv ni mwendo wa kutupia original designer clothes, na vacations
 
Kwa hiyo alimgegeda kabla ya kumuoa? Kupikiwa chai mpk cha usiku alafu uondoke hivyo hivyo, mmmh
 
Zile suit za Mengi zinafuliwa kwa mkono?
Huu usanii umezidi kipimo. Labda aseme anampelekea dry cleaner.

wewe inakuhusu nin? kwanza ukiwa na pesa unaoa hata wake saba hata nane mladi tabia zao hao madem sisiwe akili topee za kupenda sana matanuzz
 


Dk. Reginald Mengi akiwa na Familia yake

.

5. Jackline tofauti na watu wengi wanavyomchukulia hakufuata pesa kwangu bali ana mapenzi ya dhati na mimi.

YAKO.

Chanzo: Blogu ya Wananchi
Namba 5 nimeipenda
 
Hakufata pesa eee
R.I.P Mzee wangu
 
Reactions: rr4
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…