Mengi: Kwanini nimemuoa K-lynn

Mengi: Kwanini nimemuoa K-lynn

Sijui kwanini sitaki kuamini kama haya maneno ni ya mengi, hizi social network..ka create mtu tu...lolz..
 
Kwa hili wengi tutofautiana misimamo, lkn ukweli unabaki pale pale kwamba chanzo cha ndoa nyingi kuvunjika na kuvurugika na kuharibika ni kukosa unyenyekevu kwa wanawake......na kukosa uaminifu wanaume.....

Comment nzuri kabisa.
kama mke sio mnyenyekevu kama beki 3 kwanin usiwe mwaminifu..anagonga beki 3
 
Comment nzuri kabisa.
kama mke sio mnyenyekevu kama beki 3 kwanin usiwe mwaminifu..anagonga beki 3

Cha ajabu mke wako na yeye ananyenyekea bosi wake coz ndio anaprovide mahitaji yake yote kama mwanamke. Hizi ndoa za siku hizi ni kama sinema. Ubaya wa wanawake ni wasiri sana ndio maaana vijana wetu wanajiona vidume kwa mabeki tatu kumbe hata nyama uliyokula imelipiwa na bosi wa mkeo.
 
Khaaaa kwa fursa hiyo hata mie ningefanya vyote hivyo na zaidi, hapana chezea
 
Tatizo letu wabongo ni wivu kaolewe ww kama utaambiwa hayo atajuta kwa nn alikuoa kunawengne hawana time na pesa wanataka mapenzi ya kweli CIO mchepuko kama ww
 
Mungu awabariki na abarik na kizazi chenu. Mume mpende mkeo, mke muheshim mumeo, na watakia baraka zooote.
 
Bado kuna jambo amelisahau K Lynn kamzalia mapacha aisee ukipata mwanamke mzuri kama mke hio moja then akakuzalia mapacha haki ya nani unaweza msahau hata mama yako nakwambia haijalishi wawe vidume kama wa Mengi au mabinti
 
Kila la kheri katika maisha yenu ya ndoa.Mi nawapenda saaaana.
 
Kwani Bi Mkubwa alikuwa hampikii na kumfulia nguo?? Masihara haya...
 
Kuna haka ka kademu ka BARODA kanasema ninunue Washing Machine ,Mengi kama Jackline ana mdogo wake nifanyie hata mpango wa namba ya simu
 
[h=2][/h]



Dk. Reginald Mengi akiwa na Familia yake
Dr. Reginald Mengi alipoulizwa kwanini umemuoa Jackline alijubu hivi: Nimemwoa Jackline kwasababu yuko tofauti na wanawake wengine ambao nimeshawahi kuwa nao.
1. Jackline ananipikia chakula kuanzia chai, lunch mpaka dinner.


2. Jackline ananifulia nguo zangu kwa mikono yake sio mashine
3.Jackline anajua nafasi ya mwanaume na nafasi ya mwanamke kwenye nyumba.
4. Jackline ananipenda ndio mana ananifanyia vitu ambavyo wanaume wengi tunapenda kufanyiwa hasa unyenyekevu wake kwangu.
5. Jackline tofauti na watu wengi wanavyomchukulia hakufuata pesa kwangu bali ana mapenzi ya dhati na mimi.

SOMO LA UJUMBE HUU.
Kama wewe ni mwanamke na umeolewaTafadhali TAFAKARI NA CHUKUA HATUA ZA HARAKA KUIMARISHA NDOA YAKO.

SOURCE : ALICHOKIJIBU BILLIONEA WA BONGO MZEE MENGI KUHUSU KUAMUA KUMUOA KYLN!! ~ Blogu ya Wananchi


6.k lyn anatoa shiling.
 
wengi wanadhan kafuata hela lakini yawezekana kweli huyu dada ana mambo ya ziada ambayo kwa wadada weng wa siku hz ni ngumu kuyaona
 
hayo mengine tuwaachie wenyewe
hayo mengine tuwaachie wenyewe kivipi wakati wameyaleta wenyewe?

Anyhow, ni ujima wa hali ya juu kutegemea mwanamke wa kileo akae kama house maid kushinda ndani anafua na kupika chai mpaka dinner, hata yanayoendelea huko nje duniani hajui kazi yake kazi za ndani. Mi nataka mke ambae nikitoka kazini na yeye katoka kazini huko tupate vya ku discuss yanayoendela duniani, sio nikute mtu ananuka vitunguu vya kukaanga na kunipa story za sabuni imenichubua mikono leo au hadithi za vitamthilia alivyoangalia kwenye TV wakati anasubiri maji yachemke... screw that... manake huyo hata ukimueleza ma challenges na ma stress ya makazini huko hawezi kukushauri chochote manake she is living in the kitchen, a different planet
 
Duh kumbe bado anapenda usultani, dunia ya leo bado anahamasisha kufuliwa nguo kupikiwa? raha ya mapenzi kusaidiana na katika hili yeye anaeeza kumfulia pichu yfu wake wakati mwenzake anampikia.
tatizo la wanawake ckuizi wakienda shule kidogo tuuu wanataka ligi hizo unazozileta wewe...na hawa oleki... to hell with the Beijing stuff.
 
Back
Top Bottom