wewe naye! hivi hujui level ya interlect ya posters wengine ndani ya JF?
halafu mnataka watu wafanye serious analysis humu
for what?
mtu ana post the whole article bila source link wala comment yake
Buchanan, pale unapochagua kutumia "breaking news" prefix kwenye habari unayotundika,ni nini haswa kinakuongoza kufanya hivyo? Jamani, kwanini tusiwe wastaarab na kujaribu kuelewa matumizi ya hiyo prefix?!
Breaking News....Nalo hili tuanze kuelimishana kuwa linahusu nini na linatumika mahala gani??By the way,why you chose to use it in the first sight!?Habari ya kutoka gazetini tena linalopatikana online na lipo available tangu alfajiri(EAT),jioni hii unataka kuiita ni breaking news?
...Nadhani mwaka kesho kutachimbika huko Kilimanjaro maana naskia pia Michael Ngaleku Shirima yuko mbioni kugombea jimbo la Rombo kwa kupitia CCM!
Huyu Mengi sasa ni mnafiki asitumie siasa kwa maslahi yake ya biashara anathani pesa zake ndo zitampa kila kitu ngoja Ndesa-pesa amchachafye! wanathani watamtoa kirahisi enhe? Kilimanjaro si kama majimbo mengine! Wanaangalia loyalty ya muhusika! sio kwa maslahi binafsi!
Kunatesi kwamba R. mengi anakusudia kumpindua ubunge nDESAMBURO ktk ubunge 2010 kwa hivyo Chadema kupoteza ubunge Jimbo hilo.Kwa inavyoonyesha ni sawa na Kusukuma Mlevi tu, yaani Ndesamburo kuangushwa na mengi
Huyu Mengi sasa ni mnafiki asitumie siasa kwa maslahi yake ya biashara anathani pesa zake ndo zitampa kila kitu ngoja Ndesa-pesa amchachafye! wanathani watamtoa kirahisi enhe? Kilimanjaro si kama majimbo mengine! Wanaangalia loyalty ya muhusika! sio kwa maslahi binafsi!
Huyu Mengi ni mtu hatari sana na anatakiwa kuangaliwa na kumuelewa janja yake. sidhani kama ananyemelea jimbo huko Moshi bali ukifuatilia nyendo zake utaona kama anajiimarisha kitaifa. Hivyo tusimshangae mkisikia anaibuka na kutaka kugombea urais. Kumbuka kuwa aliwahi kumtumia sana Mchungaji Mtikila ila ipitishwe hoja ya mgombea binafsi na walishinda kesi mahakama kuu lakini mtandao uliwa ng'amua na kuikatalia hoja hiyo. Angalia jinsi anavyoliyumbisha bunge huku akijiweka chiiiiniiii, ha mzee mjanja sana huyu
Ndugu Jimmy, Mengi si mbunge, tafadhali tueleze ni jinsi gani analiyumbisha bunge ilhali si mbunge?
I wish I could one day understand this old man.
Sasa kama hajihusishi na siasa, mbona anahamishia Tawi huko k'njaro?
come on Mengi speak up! Tulishazoea hotuba zako. wewe si umeamua kuwa unatuhutubia ITV tunakusikiliza. Kwanza nashangaa nani alikuruhusu uwe unahutubia wananchi?