Mengi yaibuka kiwango cha Simba kwenye mashindano ya kombe la Mapinduzi

zanzibar kuna ligi ya ajabu sana nadhani ni yakipekee duniani

kila siku ligi inachezwa tena mechi zinaanza saa mbili asubuh mpaka jion

zawadi za bigwa wa ligi ni sawa na zawadi anayopewa mchezaji bora ligi kuu bara[emoji16][emoji16][emoji16]
 
kawaida timu nzuri inapocheza na timu mbovu lazima ionyeshe kiwango kibovu kiwango cha simba utakijua vizuri pale watakapokutana na timu nzuri
 
Daah! Yanga tunawaza club bingwa bara Africa simba wanawaza namna ya kurudi toka Zanzibar kwa aibu kubwa
 
Kundi la Simba lina timu tano, la Yanga lina timu nne. Kwa hiyo pamoja na kuongoza kwa pointi saba, Simba bado hajapata tiketi ya kucheza nusu fainali
 
Mi naona unatokwa bovu tu halafu unatemea wenzio.

Simba ingekuwa timu bora ingekuwa msindikizaji kwenye vpl? Bora hata azam wajitape kuliko nyinyi , kazi yenu kipiga mayowe wenzenu twaa ma makombe kila uchao...chezea yanga wewe
 
Mi naona unatokwa bovu tu halafu unatemea wenzio.

Simba ingekuwa timu bora ingekuwa msindikizaji kwenye vpl? Bora hata azam wajitape kuliko nyinyi , kazi yenu kipiga mayowe wenzenu twaa ma makombe kila uchao...chezea yanga wewe
Usijali mkuu maana najua kauli mbiu yenu vyura fc ni lazima uwe mbishi kiasi cha kuweza kubishana na radio so sikushangai komaa mkuu utajulikana tu
 
Sema sasa mbona leo hujasema kiwango chenu.......kazi kujadili timu za wenzenu..nyambafuiu
 
Hao wanaitwa makozimeni. Kazi yao kuchungulia na kusema mambo ya wengine. Wakipigwa huwaoni na uchunguzi wa timu yao na mienendo yake lakini wepesi wa kuizungumzia Simba.
Mleta mada mvimba macho leo sijui yuko wapi atupe tathimini ya timu yake.
 
Hao wanaitwa makozimeni. Kazi yao kuchungulia na kusema mambo ya wengine. Wakipigwa huwaoni na uchunguzi wa timu yao na mienendo yake lakini wepesi wa kuizungumzia Simba.
Mleta mada mvimba macho leo sijui yuko wapi atupe tathimini ya timu yake.
 
 
Unawasilisha nn sasa? Hujaeleweka, tutoe bac maan n point zako tu znatutoa hapa
 
Halafu KVZ wamesema wao ni timu changa na kuingizwa mapinduzi cup ni kama kujenga uzoefu (mazoezi) mechi zao mapinduzi cup ni kama bonanza, simba wameshindwa kuifunga hata goal moja la halali, inamaana firimbi ingepulizwa wangetoka suluhu.
Yanga walivocheza na simba ligi kuu je?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…