Mengi yamewekwa Majumbani mwetu 'Kibabe' hivyo kwa 'Tamko' hili kuna Watu wanataka Kutulazimisha tukayaanze Maisha yetu mapya Magerezani

Mengi yamewekwa Majumbani mwetu 'Kibabe' hivyo kwa 'Tamko' hili kuna Watu wanataka Kutulazimisha tukayaanze Maisha yetu mapya Magerezani

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
"kama bango umeweka kwenye nyumba ya mtu awe ameridhia kama hajaridhia ni kosa"- Monica Mnanka, Mkurugenzi Msaidizi wa elimu ya mpiga kura kutoka NEC.

EastAfricaRadio

Kuna 'Mijitu' imekuja 'Kuyabandika' kwa Fujo hadi Dirishani Kwangu, Chooni na katika Banda langu la Kuku. Mje myatoe upesi kabla sijawachenjia.
 
Hawa Jamaa wana kera sana na wana vizia Usiku ndio wana bandika ,nna washauri wengine nanyi jiongezeni kudil nayo night kali.Haiwezekani ,Nyumba nyingine Rangi ni gharama wao wanakuja kuchafua chafua tu na Picha za wagombea waliokwisha kushindwa.
 
wewe mtu huwa unanikosha sana roho yangu kwa mabandiko yako humu, ubarikikiwe... swali, sasa utawafanyaje sasa wasipo yaondoa?
 
Kinachonishanhaza huku Mbeya kuanzia Chimala, Igurusi hadi Mbeya mjini kwenye majumba ya watu mabango ni ya kutafuta. Labda yalikuwa machache, nawasihi team ya kampeni iongeze mzigo huku
 
"kama bango umeweka kwenye nyumba ya mtu awe ameridhia kama hajaridhia ni kosa"- Monica Mnanka, Mkurugenzi Msaidizi wa elimu ya mpiga kura kutoka NEC.

EastAfricaRadio

Kuna 'Mijitu' imekuja 'Kuyabandika' kwa Fujo hadi Dirishani Kwangu, Chooni na katika Banda langu la Kuku. Mje myatoe upesi kabla sijawachenjia.
Siku hizi unaakili Sana.
 
"kama bango umeweka kwenye nyumba ya mtu awe ameridhia kama hajaridhia ni kosa"- Monica Mnanka, Mkurugenzi Msaidizi wa elimu ya mpiga kura kutoka NEC.

EastAfricaRadio

Kuna 'Mijitu' imekuja 'Kuyabandika' kwa Fujo hadi Dirishani Kwangu, Chooni na katika Banda langu la Kuku. Mje myatoe upesi kabla sijawachenjia.
NEC wameanza kugawanyika.
 
Back
Top Bottom