Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Mabango ya maccm hayo"kama bango umeweka kwenye nyumba ya mtu awe ameridhia kama hajaridhia ni kosa"- Monica Mnanka, Mkurugenzi Msaidizi wa elimu ya mpiga kura kutoka NEC.
EastAfricaRadio
Kuna 'Mijitu' imekuja 'Kuyabandika' kwa Fujo hadi Dirishani Kwangu, Chooni na katika Banda langu la Kuku. Mje myatoe upesi kabla sijawachenjia.