Mengi yanayosemwa kuhusu UDOM kwenye soko la ajira si kweli.

Nimesoma diploma nina gpa 4.7

maisha yako yote kilaza wewe Huna lolote 4.7 upate wapi , kilaza mkubwa wewe ulikuwa division four ya 31(iv.30),ukaanza na certificate ukaunga diploma ,
 
maisha yako yote kilaza wewe Huna lolote 4.7 upate wapi , kilaza mkubwa wewe ulikuwa division four ya 31(iv.30),ukaanza na certificate ukaunga diploma ,

Pole yako wewe uliyekariri... Halafu eti unajiita msomi!
 
You are wrong, private sector tunaangalia uwezo wa mtu wa kufanya kazi. Referal, koo, dini, sex hayo hayana nafasi kinachoangaliwa ni tija tuu

mweleze, nani akuajiri wakati huingizii faida kampuni
 
si huyo bata mzinga! Ana madharau utafikiri ye ndo wa kwanza kusoma chuo kikuu dunia nzima.

wewe pimbi hebu tulia kilaza wewe umeshindwa hata kupata iii.25 ukaenda advance ,kilaza mkubwa wewe huoni hata aibu unasema kabisa nimesoma diploma,
 
udom ni majengo tu., nazani ni chuo kimechochangia hata elimu ya tanzania kusuasua.
 

........
Exactly!!!!!!!!!!"!!!!
 
wewe pimbi hebu tulia kilaza wewe umeshindwa hata kupata iii.25 ukaenda advance ,kilaza mkubwa wewe huoni hata aibu unasema kabisa nimesoma diploma,

Usilolijua ni kama usiku wa giza...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…