Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hii ni miongoni mwa lundo la hasara na Manung'uniko yaliyosababishwa na Ujinga wa Makomadoo wa Yanga waliovuruga Mechi ya Derby baada ya kutumwa na Viongozi wao waliochungulia Kipigo.
Viongozi wa Yanga ni Wabinafsi ambao wako Tayari kufanya lolote ili mradi kunufaisha upande wao, Maelfu ya watu wa mikoani waliokodi mabasi ya Abiria ili kuwahi gemu hiyo hawajui wafanyeje.
Viongozi wa Yanga ni Wabinafsi ambao wako Tayari kufanya lolote ili mradi kunufaisha upande wao, Maelfu ya watu wa mikoani waliokodi mabasi ya Abiria ili kuwahi gemu hiyo hawajui wafanyeje.