Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Huyo kishafungiwa kwa MatusiHahahahahaha lakini Ally Kamwe anawafikishia tumaini kuwa wasisononeke kwani die hard fans wa Yanga wao watakuja uwanjani hivyo kama kulikuwa na misosi mingine home wakaifuate.View attachment 3263630
Machozi ya Wajasiriamali hayatapotea bureYale Yale
Bado inaonekana.Huyo kishafungiwa kwa Matusi
Tanzania ndio ishatoka HyMachozi ya Wajasiriamali hayatapotea bure
Yanga wanashirikiana nà CCM kufanya wàtanzania tuendelee kuwa masikini.Hii ni miongoni mwa lundo la hasara na Manung'uniko yaliyosababishwa na Ujinga wa Makomadoo wa Yanga waliovuruga Mechi ya Derby baada ya kutumwa na Viongozi wao waliochungulia Kipigo.
Viongozi wa Yanga ni Wabinafsi ambao wako Tayari kufanya lolote ili mradi kunufaisha upande wao, Maelfu ya watu wa mikoani waliokodi mabasi ya Abiria ili kuwahi gemu hiyo hawajui wafanyeje.
Usiondoke JFPicha ya masyfuria ya supu, na tambii
Hata siku timu yao inatolewa ligi ya Mabingwa, Viongozi wao walionekana kwenye vikao vya ccm Dodoma, huku wakiwa siyo Wajumbe wa Mkutano huo!Yanga wanashirikiana nà CCM kufanya wàtanzania tuendelee kuwa masikini.
Mama anaupiga mwingi.
Komando ndiye anaye shikilia funguo za uwanja wa taifa.Meneja hamja mtaarifu milango angewafungilia nani.Hii ni miongoni mwa lundo la hasara na Manung'uniko yaliyosababishwa na Ujinga wa Makomadoo wa Yanga waliovuruga Mechi ya Derby baada ya kutumwa na Viongozi wao waliochungulia Kipigo.
Viongozi wa Yanga ni Wabinafsi ambao wako Tayari kufanya lolote ili mradi kunufaisha upande wao, Maelfu ya watu wa mikoani waliokodi mabasi ya Abiria ili kuwahi gemu hiyo hawajui wafanyeje.
Hakuna mtu mwenye akili hapo Utopolo awaoneshe barua toka BODI YA LIGI?Hahahahahaha lakini Ally Kamwe anawafikishia tumaini kuwa wasisononeke kwani die hard fans wa Yanga wao watakuja uwanjani hivyo kama kulikuwa na misosi mingine home wakaifuate.View attachment 3263630
Tulia wewe, unadhani Bodi ni GSMKomando ndiye anaye shikari funguo za uwanja wa taifa.Meneja hamja mtaarifu milango angewafungilia nani.
Kwenye barua yenu si mmejikaanga wenyewe sijui aliye andika ile barua kalipwa na GSM.Tulia wewe, unadhani Bodi ni GSM