Wakusoma 12
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 4,035
- 11,462
Ubaya ubwela aka No reform no electionHii ni miongoni mwa lundo la hasara na Manung'uniko yaliyosababishwa na Ujinga wa Makomadoo wa Yanga waliovuruga Mechi ya Derby baada ya kutumwa na Viongozi wao waliochungulia Kipigo.
Viongozi wa Yanga ni Wabinafsi ambao wako Tayari kufanya lolote ili mradi kunufaisha upande wao, Maelfu ya watu wa mikoani waliokodi mabasi ya Abiria ili kuwahi gemu hiyo hawajui wafanyeje.
kabisaaaMachozi ya Wajasiriamali hayatapotea bure
Kuliko wale waliosusia mechi kipindi kile kwa kitendo cha muda wa mechi kubadilishwa?Simba mnachekesha sana!
Muhimu historia imeandikwa kuwa 8/3/2025 mliwaogopa Yanga kwa kutopeleka timu uwanjani kwa sababu za kitoto kabisa.
Sababu za Yanga kugomea mchezo ziikuwa na support ya sheria na kanuni za soka nchini ndiyo maana wenye mamlaka walikubali.Kuliko wale waliosusia mechi kipindi kile kwa kitendo cha muda wa mechi kubadilishwa?
Kimewalamba!!!Hii ni miongoni mwa lundo la hasara na Manung'uniko yaliyosababishwa na Ujinga wa Makomadoo wa Yanga waliovuruga Mechi ya Derby baada ya kutumwa na Viongozi wao waliochungulia Kipigo.
Viongozi wa Yanga ni Wabinafsi ambao wako Tayari kufanya lolote ili mradi kunufaisha upande wao, Maelfu ya watu wa mikoani waliokodi mabasi ya Abiria ili kuwahi gemu hiyo hawajui wafanyeje.
Noma hiyoNiazime laki tano nichukue mzigo wa kuuza siku ya Kariakoo Derby. Jioni ya siku hiyo nakurudishia. Mzee kodi yako nitakulipa tarehe tisa, uhakika.
Press ya Simba imetoka tangu jana usiku..hawakuiona?Hii nchi haina watu smart inapokuja swala la kuangalia maslahi ya watu.
Mfano hawa wafanyabiashara Ambao walikuwa tayari wameshachukua bidhaa ili waje wafanye biashara .
So ingekuwa vizuri Kama mechi itakuwa inaelekea kuhairishwa iwe at least wiki mbili kabla
hii ni kejeli kwa wananchi.ila kwa sababu wenyw akili wawili tu pale sawaaHahahahahaha lakini Ally Kamwe anawafikishia tumaini kuwa wasisononeke kwani die hard fans wa Yanga wao watakuja uwanjani hivyo kama kulikuwa na misosi mingine home wakaifuate.View attachment 3263630
Wewe unaelewa Biashara zinavyofanyika au unajiongelea Mkuu?Press ya Simba imetoka tangu jana usiku..hawakuiona?
Kwahiyo?Press ya Simba imetoka tangu jana usiku..hawakuiona?