Meninah: Mimi na Diamond hatuendani

Ahhh dangoteee kwl pesa ndo habari dunia kila mtu anatafuta kick kutoka kwa diamond...sasa hivi hata mdomo umekuwa urembo
 
Menina is a sweet lady,WTF you expect we unafikiri hata mie nkimpata ntamwacha kweli...hongera Domo kwa kazi iliyotukuka Wema hapo chali kabisaa
 
Yani sijui anawadanganyaje au anawafanyaje humo ndani mpaka wanakubali kuchanganywa kama unga wa ngano.........
 
whats so special with meninah,its ridiculous to call her a 'star'
 
Wanakataaga hivyo hivyo mwishowe mambo yote hadharani
 
Maduu wa kibongo yaani ni Shiida alishajifrontisha kwa Mondi mpk atoe mark eti yeye chini Mondi Juu.
 
huyu meninah ni wa ajabu sana,choreography zake anafanyia baa for all to see,shemeji yenu ndiye aliyeniambia kuwa ni msanii,jicho alilokuwa ananitupia kidogo livunje ndoa...mi ni mkazi wa kigamboni na yeye ni mkazi wa huko..
 
huyu meninah ni wa ajabu sana,choreography zake anafanyia baa for all to see,shemeji yenu ndiye aliyeniambia kuwa ni msanii,jicho alilokuwa ananitupia kidogo livunje ndoa...mi ni mkazi wa kigamboni na yeye ni mkazi wa huko..

Na wewe ungemkonyeza.
 
Jamani hivi hiyo pesa gani aliyokuwa nayo ya kupiga shoo za 3200 mnigeria noma sana kwanini umetoa siri mimi nimesema shoo za ulayaa nalipwa € 20000
 

Inawezekana anamchimba maana ukaribu wake wa ghafla na mpambe wa diamond Rommy Jons ni wakutia mashaka, na rommy ni maarufu kwa "KUSHIKA MAPEMBE"
 
Jamani hivi hiyo pesa gani aliyokuwa nayo ya kupiga shoo za 3200 mnigeria noma sana kwanini umetoa siri mimi nimesema shoo za ulayaa nalipwa € 20000

Hiyo alikuwa anamalizia balance iliyobaki, baada ya kumpa advance ikiwepo nauli na kuandaa sehemu ya kufikia.. By the way alisema analipwa tsh 20,000 sio euro 20,000...!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…