Meno kuwa kahawia

ldd

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2011
Posts
790
Reaction score
128
Wataalamu, naomba msaada mtoto wa miaka 6 aling'oa meno ya mbele, yalivyoota tu yakawa na rangi kama ya kahawia, je tiba yake ni nn!? Nawakilisha
 
Kazaliwa arusha/moshi? Kama kazaliwa huko no way, labda yasafishwe lakini yakisafishwa yanakuwa weak na anatakiwa arudie Mara kwa Mara, nasikia pia maziwa fresh akinywa kwa wingi yanasaidia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…