ldd JF-Expert Member Joined Jun 26, 2011 Posts 790 Reaction score 128 Dec 8, 2014 #1 Wataalamu, naomba msaada mtoto wa miaka 6 aling'oa meno ya mbele, yalivyoota tu yakawa na rangi kama ya kahawia, je tiba yake ni nn!? Nawakilisha
Wataalamu, naomba msaada mtoto wa miaka 6 aling'oa meno ya mbele, yalivyoota tu yakawa na rangi kama ya kahawia, je tiba yake ni nn!? Nawakilisha
T tembojike Member Joined Oct 15, 2014 Posts 30 Reaction score 5 Dec 9, 2014 #2 Kazaliwa arusha/moshi? Kama kazaliwa huko no way, labda yasafishwe lakini yakisafishwa yanakuwa weak na anatakiwa arudie Mara kwa Mara, nasikia pia maziwa fresh akinywa kwa wingi yanasaidia
Kazaliwa arusha/moshi? Kama kazaliwa huko no way, labda yasafishwe lakini yakisafishwa yanakuwa weak na anatakiwa arudie Mara kwa Mara, nasikia pia maziwa fresh akinywa kwa wingi yanasaidia