The Giant
JF-Expert Member
- Jun 24, 2012
- 504
- 96
Nimengo'a meno zaidi ya 5 now. Kuna mengine(magego) 3 yalitoboka, nikaziba. Kwa sasa yamezibuka, yaani yanauma na siwezi tafuna chochote kwa kutumia meno ya mbele. Nilitumia dawa Fulani ya asili ya kusukutua na kumeza la sikupona. Msaada wapendwa naombeni!!