Menopause awareness (elimu ya ukomo wa hedhi)

Menopause awareness (elimu ya ukomo wa hedhi)

Haya n mambo yenu ya Siri wanawake. Kupost hapa kwenye Wanaume wengi. Unatukosea Adabu
Haya mambo ya kusema kila kitu ni siri ndio huleta matatizo mbeleni kutokujua mambo mengi ya kimsingi.

Wewe kama mwanaume ni wazi una mke ama utakuja kuwa na mke hudhani ni busara kuwa na ufahamu pale mwenza wako akianza kuonyesha mabadiliko ya menopause. Wanaume tukinyimwa kipochi manyoya hatukawii kushtumu usaliti kumbe maskini ya Mungu mwenzio anaenda kukoma hedhi.

Ni wakati sasa mambo yawe wazi kuepusha sintofahamu na kudanganywa.
 
Haya mambo ya kusema kila kitu ni siri ndio huleta matatizo mbeleni kutokujua mambo mengi ya kimsingi.

Wewe kama mwanaume ni wazi una mke ama utakuja kuwa na mke hudhani ni busara kuwa na ufahamu pale mwenza wako akianza kuonyesha mabadiliko ya menopause. Wanaume tukinyimwa kipochi manyoya hatukawii kushtumu usaliti kumbe maskini ya Mungu mwenzio anaenda kukoma hedhi.

Ni wakati sasa mambo yawe wazi kuepusha sintofahamu na kudanganywa.
Sasa ukinyimwa kwani wanawake wameisha au yeye ndio mwanamke peke yake ?

Of course mambo ya hedhi ni mambo ya wanawake peke yao wao na mabinti zao.
 
Angalizo: mimi sio daktari wa wanawake na wala sio mtaalamu wa kiswahili

Hii ni maada ambayo haiongelewi kwa upana wake nchini, yawezekana ni sababu ya kukosa maarifa, au watu wanaona kawaida na kuishi na maumivu yao kama nyakati ambazo hakukua na suluhu au wengi wa wanawake hawapitii hayo katika jamii ya watanzania

Mimi kama mwanamke ambaye ni mkoma hedhi ajaye, ningependa wenzetu ambao wamepita huko na wapo huko wanamudu vipi kuendelea kuishi maisha yao kila siku

Hapa naongelea ambao ukomo wa hedhi umetokea kwa sababu ya umri wa kibaolojia ( sio wale ambao imetokea sababu ya operation au dawa)

Kwa ufupi mpaka kufikia ukomo wa hedhi wa kudumu kuna mabadiliko yanatokea

Peri menopause (kabla ya uko wa hedhi)
Haya ni maandalizi kabla ya ukomo wa hedhi, kwa wengi inawatokea miaka 7-14 kabla ya ukomo wa hedhi.
Inatokea sana kwa wanawake walio 40s na baadhi inaanza 35+

Mara nyingi hali hii inaambatana na baadhi ya mambo yafuatayo (provided maisha yako hayajabadilika kwa kiasi kikubwa)
1. Hedhi kupoteza mtiririko
2. Joto kali (hot flashes)
3. Maumivu makali ya mwili especially joints (aches)
4. Uke kuwa mkavu sana, kupoteza hamu ya tendo
5. Magonjwa ya njia ya mkojo ya kujirudia rudia (UTI)
6. Sonona, kusahau sahau, kukosa umakini, kukosa mental clarity
7. Kuongezeka uzito kupitiliza

Menopause:
Ukomo wa hedhi kwa mwaka mmoja mfululizo

Post Menopause:
Mara nyingi miaka 50-55
Hii ni kwa maisha yako yote yaliyobaki bila hedhi. Wapo ambao wanabahatika maisha yanaendelea kama kawaida na maudhi machache ya hapa na pale.
Pia wapo ambao mambo yanakua magumu kiasi kwamba maisha ya kawaida inakua ni afadhali ya jana.

1. Wenzetu ambao mnapitia na mmepitia huko mmewezaje na mnawezaje maisha yenu ya kila siku?
2. Mngependa kitu gani kifanyike cha tofauti kwa sisi ambao tupo kuelekea safari hiyo?
3. Mnawezaje kumudu mabadiliko haya kwenye mahusiano yenu ya ndoa au uchumba sugu???
4. Kwa wanaume au mabinti ambao bado, una uzoefu na mtu wako wa karibu alivyobadilika kipindi hichi? Ilikuwaje?

Kwa elimu zaidi mnaweza pitia links hapa chini


View: https://youtu.be/Cgo2mD4Pc54?si=mvtPl4hH9PpKm9VE


View: https://youtu.be/oQqcnYcKx68?si=78J5YjSA2B_jBDQm

Nakaribisha wadau, mods naomba mpin huu uzi sababu ni kitu endelevu wengine ukifika wakati wetu tungependa kuchagua

Haya mambo hayana formulae. Mfano mama yangu menopause alikuwa na miaka 35. Sasa yupo 95 ila chamoto anakipata miaka yote ni joints kuuma na kulalamika kwingi.

Mama mkwe alitutoka akiwa 110 (kulingana na church records). Nazungumzia hili kwa vile watu wengi ni waango, utasikia mimi baba alikufa na miaka 150. Uongo mkubwa, kuna exaggerations nyingi katika suala la umri. Masuala ya menopause siwezi elezea ila mke wangu alikuwa last but one ila alimzaa akiwa 57 years (uchaggani).

Bi mkubwa anakaribia ila ashastaafu kwa mujibu wa sheria.

Nilichogundua, ile menopause ya mapema chini ya miaka 50 inakata hamu kabisa. Hapo ndipo kama mume hana uweo wa michepuko basi ataoa mke mwingine. Tatizo kubwa la waafrika tuna jando na unyago ila hatuna baada ya kukoma hedhi. Hivyo ni tatizo katika familia nyingi. Mwanamke anakuwa na kisrani wakati mwanaume anapenda K yake. Fikiria kivumbi hicho maana hakuna mtu wa kushauri. Ukikuta familia ugomvi wao ni usiku jua supply ya K haipo wakati demand ya K ipo to the maximum.

Tuje kwa wale ambao inakuja karibia na 50, wengi huwa hawana matatizo ya supply ya K ila wengi sana huwa wana hamu kuzidi waume zao. Hii hutokea hasa kwa wale ambao huogopa kutoa K kwa kuogopa kupata mimba. Baada ya Menopause hujiona huru na kujiachia. Hawa ndiyo wale ambao wanasaka viserengeti boys etc.

Njia ya kufanya kwa binti mdogo ili asipate matatizo mbele ya safari. Jitahidi kutotumia madawa na kuharibu K yako. Acha ati kuweka vitu vya ajabu katika K. Acha kutumia madawa ya kukata hedhi etc. Jitahidi kuwa natural na kuutunza mwili wako ili ukuhifadhi hapo baadaye. Angali watu kama Lwiza Mbutu au Dotnata wanavyoteseka sasa ili wawe ni mifano hai kwako. Mambo ya P2 achana nayo, kabla ya sex tafuta vipimo vya Ovulation upime kama ni siku ya hatari. Siku za hatari jitahidi kuwa busy ili usikutane na wa masikhara. Nitaendelea baadaye
 
Angalizo: mimi sio daktari wa wanawake na wala sio mtaalamu wa kiswahili

Hii ni maada ambayo haiongelewi kwa upana wake nchini, yawezekana ni sababu ya kukosa maarifa, au watu wanaona kawaida na kuishi na maumivu yao kama nyakati ambazo hakukua na suluhu au wengi wa wanawake hawapitii hayo katika jamii ya Watanzania.

Mimi kama mwanamke ambaye ni mkoma hedhi ajaye, ningependa wenzetu ambao wamepita huko na wapo huko wanamudu vipi kuendelea kuishi maisha yao kila siku.

Hapa naongelea ambao ukomo wa hedhi umetokea kwa sababu ya umri wa kibaolojia (siyo wale ambao imetokea sababu ya operation au dawa).

Kwa ufupi mpaka kufikia ukomo wa hedhi wa kudumu kuna mabadiliko yanatokea.

Peri menopause (kabla ya uko wa hedhi)
Haya ni maandalizi kabla ya ukomo wa hedhi, kwa wengi inawatokea miaka 7-14 kabla ya ukomo wa hedhi.
Inatokea sana kwa wanawake walio 40s na baadhi inaanza 35+

Mara nyingi hali hii inaambatana na baadhi ya mambo yafuatayo (provided maisha yako hayajabadilika kwa kiasi kikubwa);
1. Hedhi kupoteza mtiririko
2. Joto kali (hot flashes)
3. Maumivu makali ya mwili especially joints (aches)
4. Uke kuwa mkavu sana, kupoteza hamu ya tendo
5. Magonjwa ya njia ya mkojo ya kujirudia rudia (UTI)
6. Sonona, kusahau sahau, kukosa umakini, kukosa mental clarity
7. Kuongezeka uzito kupitiliza

Menopause: Ukomo wa hedhi kwa mwaka mmoja mfululizo.

Post Menopause: Mara nyingi miaka 50-55

Hii ni kwa maisha yako yote yaliyobaki bila hedhi. Wapo ambao wanabahatika maisha yanaendelea kama kawaida na maudhi machache ya hapa na pale. Pia wapo ambao mambo yanakua magumu kiasi kwamba maisha ya kawaida inakua ni afadhali ya jana.

1. Wenzetu ambao mnapitia na mmepitia huko mmewezaje na mnawezaje maisha yenu ya kila siku?
2. Mngependa kitu gani kifanyike cha tofauti kwa sisi ambao tupo kuelekea safari hiyo?
3. Mnawezaje kumudu mabadiliko haya kwenye mahusiano yenu ya ndoa au uchumba sugu?
4. Kwa wanaume au mabinti ambao bado, una uzoefu na mtu wako wa karibu alivyobadilika kipindi hichi? Ilikuwaje?

Kwa elimu zaidi mnaweza pitia links hapa chini


View: https://youtu.be/Cgo2mD4Pc54?si=mvtPl4hH9PpKm9VE


View: https://youtu.be/oQqcnYcKx68?si=78J5YjSA2B_jBDQm

Nakaribisha wadau.

Ok
 
Back
Top Bottom