Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Sijui ni wangapi mnajua kuhusu hii bidhaa.
Bidhaa yenyewe ni ‘body powder spray’.
Ni poda [powder] ambayo unajipulizia mwilini: kwenye mabega, mgongoni, kifuani, chini ya makwapa, na kadhalika.
Kazi yake kuu ni kufyonza/ kukata jasho.
Kwa vile huja kwa aina za manukato mbalimbali, pia huufanya mwili unukie vizuri.
Body powder spray siyo mbadala wa kiondoa harufu za kwapani, yaani deodorant na antiperspirant deodorant.
Body powder spray hutumika kama kitu cha ziada kwa hivyo viondoa harufu.
Zipo za wanawake na za wanaume. Hapa nazungumzia za wanaume.
Kama hujawahi kutumia hii bidhaa, nakushauri ujaribu siku moja. Hususan kama upo eneo lenye joto na jua kali kama Dar, Mtwara, Lindi, na kwingineko.
Bidhaa yenyewe ni ‘body powder spray’.
Ni poda [powder] ambayo unajipulizia mwilini: kwenye mabega, mgongoni, kifuani, chini ya makwapa, na kadhalika.
Kazi yake kuu ni kufyonza/ kukata jasho.
Kwa vile huja kwa aina za manukato mbalimbali, pia huufanya mwili unukie vizuri.
Body powder spray siyo mbadala wa kiondoa harufu za kwapani, yaani deodorant na antiperspirant deodorant.
Body powder spray hutumika kama kitu cha ziada kwa hivyo viondoa harufu.
Zipo za wanawake na za wanaume. Hapa nazungumzia za wanaume.
Kama hujawahi kutumia hii bidhaa, nakushauri ujaribu siku moja. Hususan kama upo eneo lenye joto na jua kali kama Dar, Mtwara, Lindi, na kwingineko.