Poa dear, uhali gani.Leniel mamboo ukanikimbia best
Siangaliagi mpira mie jiraniHakika nitakupitia nijionee... tutakaangalia wote mechi mpaka wa saa nne...
Leo utaangalia tu Jirani, ukisinzia nakumwagia maji...Siangaliagi mpira mie jirani
Maji usiku usiku nitaumwa kifua jiraniLeo utaangalia tu Jirani, ukisinzia nakumwagia maji...
Hospitali zipo jirani, na bed rest utafanyia kwangu, ukiumwa...Maji usiku usiku nitaumwa kifua jirani
Haya bahna tupoPoa dear, uhali gani.
Hahaha sijakimbia mambo yalinitinga
Nakuona dear, enjoyHaya bahna tupo
Jirani una hatari wewe. Haya badaeHospitali zipo jirani, na bed rest utafanyia kwangu, ukiumwa...
Nitakufuata hiyo baadae jirani...Jirani una hatari wewe. Haya badae
Sawa nakusubiria jiraniNitakufuata hiyo baadae jirani...
Pm yako nifungulie jirani, usikaze sana...Sawa nakusubiria jirani
Tulia jirani, sitaki usumbufuPm yako nifungulie jirani, usikaze sana...
Nitavunja kufuli jirani... hahahaTulia jirani, sitaki usumbufu
Ukivunjika mkono hasara kwa nani jiraniNitavunja kufuli jirani... hahaha
Tumeumbiwa matesa kwa hiyo ni sawa...Ukivunjika mkono hasara kwa nani jirani
Unajua mwenyewe jirani, unaninyima pm...Jirani uchoyo wangu nini mie tena
Pm ndio nakunyima jirani, bado sijapata sababu ya kukufunguliaUnajua mwenyewe jirani, unaninyima pm...