Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,229
- 50,144
Nitajifikiria jirani, au niandikie uzi wa kuniomba nifungue pm hapo ndio nitaona uko serious una jambo muhimuKama unanihurumia, basi wepesi upo jirani...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitajifikiria jirani, au niandikie uzi wa kuniomba nifungue pm hapo ndio nitaona uko serious una jambo muhimuKama unanihurumia, basi wepesi upo jirani...
Hakika, wanaume tumeumbiwa mateso... Sawa nitafanya hivyo sharti fungua pm kwanza...Nitajifikiria jirani, au niandikie uzi wa kuniomba nifungue pm hapo ndio nitaona uko serious una jambo muhimu
Sasa nikifungua kwanza uzi utaandikaje jiraniHakika, wanaume tumeumbiwa mateso... Sawa nitafanya hivyo sharti fungua pm kwanza...
Jiani naomba nijilete pm, uzi utafunguliwa na mengine kibao...Sasa nikifungua kwanza uzi utaandikaje jirani
Haya badae, saivi niache nifanye kazi jiraniJiani naomba nijilete pm, uzi utafunguliwa na mengine kibao...
Sikuachi jirani, nipo nawe bumper to bumpier...Haya badae, saivi niache nifanye kazi jirani
Jirani msumbufu ndio maana nashindwa kukufungulia pmSikuachi jirani, nipo nawe bumper to bumpier...
Jirani kitaeleweka tu... HahahaJirani msumbufu ndio maana nashindwa kukufungulia pm
Mambo mengine sio ya kuforce ujue jiraniJirani kitaeleweka tu... Hahaha
Jirani, ndiyo maana nikasema fungua pm jirani, ili kama kupoteza point nipoteze kimya kimya private...Mambo mengine sio ya kuforce ujue jirani
Shauri yako unapunguza points hivyo hahaaa
Kua mpole jirani, hawaforce hivyoJirani, ndiyo maana nikasema fungua pm jirani, ili kama kupoteza point nipoteze kimya kimya private...
Nikiwa mpole nitafunguliwa pm, sii ndiyo jirani...Kua mpole jirani, hawaforce hivyo
Ndio jirani, ila ukileta ubabe ndio unaharibuNikiwa mpole nitafunguliwa pm, sii ndiyo jirani...
Nishakua mpole jirani, kwa hiyo nitarajie jirani...Ndio jirani, ila ukileta ubabe ndio unaharibu
Endelea kuwa mpole hivyo hivyoNishakua mpole jirani, kwa hiyo nitarajie jirani...
Haya Bana.
Upo kimya jirani, kuna tatizo...Abee jirani