Mention someone without any reason just to disturb them

Mention someone without any reason just to disturb them

Nikikuelekezea hapa, sii watakuja ambao hata siyo wahusika... fungua pm...
Me nimevaa gauni jekundu linawaka waka na viatu vyekundu navyo vinawaka waka.
Akija ambae hajavaa hivyo jua ni feki, so nielekeze tu.
 
Me nimevaa gauni jekundu linawaka waka na viatu vyekundu navyo vinawaka waka.
Akija ambae hajavaa hivyo jua ni feki, so nielekeze tu.
Binadamu hawashindwi, siyo mwenyewe mwenye vitu vyekundu vya kuwakawaka...

Au ndiyo wewe yule pale umesimamisha ice cream za Azam pale...
 
Binadamu hawashindwi, siyo mwenyewe mwenye vitu vyekundu vya kuwakawaka...

Au ndiyo wewe yule pale umesimamisha ice cream za Azam pale...
Ndio mimi huyo napoza kiu kidogo, kumbe umeninotice haya unyooshe mkono juu nikuone uko kwa wapi nije
 
Ndio mimi huyo napoza kiu kidogo, kumbe umeninotice haya unyooshe mkono juu nikuone uko kwa wapi nije
Ngoja nikufuate nikunase kibao cha nguvu, nakunyanganya simu alafu najifungulia pm yako...

Atakae nifuata ninyo back up...
 
Ngoja nikufuate nikunase kibao cha nguvu, nakunyanganya simu alafu najifungulia pm yako...

Atakae nifuata ninyo back up...
Sasa huo si utakua uvunjifu wa haki za binadamu.
Utaenda pm na me naenda dawati la jinsia tuone nani ni nani
 
Back
Top Bottom