Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,229
- 50,144
Sasa hivi ni kimbau mbau, nguo zanipwaya jiraniJirani embu niona sasa hivi upo vipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hivi ni kimbau mbau, nguo zanipwaya jiraniJirani embu niona sasa hivi upo vipi?
Niwekee picha pm nijione mwenywe jirani...Sasa hivi ni kimbau mbau, nguo zanipwaya jirani
Pm nimefunga, usumbufu mwingi hukoNiwekee picha pm nijione mwenywe jirani...
Kuna jambo zuri nataka nikuambie pm...Pm nimefunga, usumbufu mwingi huko
Hapana jiraniKuna jambo zuri nataka nikuambie pm...
Usiwe mgumu mwisho wa mwaka jirani... legeza nikumwagie baraka...Hapana jirani
Kama huwezi kuniambia hapa basi litunze tu hadi ile siku nitakayofungua pm
Nimwagie baraka nilainike jirani nikufungulie pmUsiwe mgumu mwisho wa mwaka jirani... legeza nikumwagie baraka...
Siwezi kukumwagia baraka hadharani jirani...Nimwagie baraka nilainike jirani nikufungulie pm
Tulia nitakufikiriaSiwezi kukumwagia baraka hadharani jirani...
Jirani mwisho wa mwaka usifikirie amua...Tulia nitakufikiria
Lazima nifikirie, nifanye maamuzi sahihiJirani mwisho wa mwaka usifikirie amua...
Jirani fanya kuniumiza basi...Lazima nifikirie, nifanye maamuzi sahihi
Jirani nikikuumiza mimi kupona sio rahisi ujueJirani fanya kuniumiza basi...
Usinihurumie, nimeumbiwa mateso lakini hayo matesa ndiyo hamnipi sasa...Jirani nikikuumiza mimi kupona sio rahisi ujue
Nakuhurumia....
Unataka mateso jirani? Utayapata vere soonUsinihurumie, nimeumbiwa mateso lakini hayo matesa ndiyo hamnipi sasa...
Jirani nataka mpaka nijute kukufahamu... hahaha kama utaweza lakini maana...Unataka mateso jirani? Utayapata vere soon
Maana nini jirani, em malizia basi...Jirani nataka mpaka nijute kukufahamu... hahaha kama utaweza lakini maana...