Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Asee wapi huko na mm nihamie niwe jirani yakoNilikuwa silijui hilo..naomba nikutambue rasmi leo kuwa wewe ni jirani yangu.sasa nina majirani wawili [emoji4][emoji4].. Iceberg9 nimepata jirani mwingine huku.njoo msalimiane rasmi
Ooh thanks dear, sema jina linavutia sana kulitamkaKwanza naomba nichukue fursa kukushukuru kuniqoute..nilikuwa nikikusubiri mda mrefu sana.asante mno.
Nikaona uzi wowote wa ushauri uko na comment yako nasoma mara mbili mbili.unaushauri mzuri sana.pokea sifa na utukufu [emoji122]
Back to the point.
Chakor ni main character wa movie moja ya kihindi inaitwa udaan kama sijakosea..ila nilijiita Chakorii kwa lafudhi ya kichaga.kwa bahati mbaya sikufanikiwa kuimaliza hiyo movie mana ni ndefu ..ila ni movie nzuri sana unaeza kulia mwanzoni kama mtu wa machoziya karibu.
Nimejaribu kutafuta maana yake kihindi baada ya kuniuliza sijafanikiwa..
Kwa msaada wa anko gugo...[emoji116]View attachment 1566694
We mzee hupitwi
Thank you dear fo this amazing complement[emoji847]Oooow'..!!
thanks so much Maa, Mrembo flani hivi mwenye busara zake kemkem.!
you have this huge admiration from me.!! [emoji7]
naelewa mkuu, na ninaheshimu sana hilo, kupitia maandiko yake nimeona mara nyingi ni mwanamama aneijivunia sana ndoa yake, hii imenifanya hata naogopa kumzoeaMwenzako kaolewa na anaitwa mama kijacho
Mjumba kajengewa na anamiliki ma Prado[emoji23]
whitehorse
Are you a mare or a stallion?
Good Lord..!!Thank you dear fo this amazing complement[emoji847]
You inspires me pia, ni mdada flani hivi very cool, huna papara
wanna be your stallion babeA mare of course huoni viashiria vyote hadi avatar jamani 😜
wanna be your stallion babe