Mention someone without any reason just to disturb them

Mention someone without any reason just to disturb them

Coca niache naomba niendelee kuwa samaki nina maji mdomoni!
Kuna vitu nitavisema hapa nikashangaza watu.

Tuhamie mada nyingine hii tuipotezee,
Eeh kwahiyo sare ya harusi tutavaa nini? Lace au tutavaa vijora?[emoji23]
Ni kukupanikisha tu, utamwaga kila kitu[emoji23]

Ngoja nitafute angle
 
Kabisa nimpelekeee, kwan shem wangu si ana davoo wake, wee hujui? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Davoo wake usiku hamuendeshi, we msaidie kumsindikiza kalewa atakuja kugonga bampa za magari ya watu [emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] James Delicious kashaishiwa, hana mpyaa mjini.

Ila Aggrey ananiuzi lile tumbo, si akakate utumbo km wema, khaaaah.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila shem wee mpana
Wala mm sina time kabisa, tatizo kuna mambo unayakuta bila hata kujua imekuaje.

Kuna kipindi nikiingia insta naona story za aggrey kafanya hivi kafanya vile wakawa wanaweka na clip zake. Ni huzuni
 
Back
Top Bottom