Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Ni kukupanikisha tu, utamwaga kila kitu[emoji23]Coca niache naomba niendelee kuwa samaki nina maji mdomoni!
Kuna vitu nitavisema hapa nikashangaza watu.
Tuhamie mada nyingine hii tuipotezee,
Eeh kwahiyo sare ya harusi tutavaa nini? Lace au tutavaa vijora?[emoji23]
Doh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Aggrey toka ajipatie pedeshee katulia mnoo.
Rafiki ake ananyea debe huko South kisa Sembe.
Kabisa nimpelekeee, kwan shem wangu si ana davoo wake, wee hujui? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Crew ya kina aggrey hii
Nitaanza kumfatilia kwa karibu zaidiWanakuibia wewe tulia hapo hapo [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila shem wee mpana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Aggrey toka ajipatie pedeshee katulia mnoo.
Rafiki ake ananyea debe huko South kisa Sembe.
Wewe unajiitaga kungwi, kama hujui ulijiita vipi hivyo?Sijui lolote, wagogo na mambo hayo wapi na wapi?[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee.Davoo wake usiku hamuendeshi, we msaidie kumsindikiza kalewa atakuja kugonga bampa za magari ya watu [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]
Yes tunapoenda elimu kubwa haitakua tena na maanaNdo maana ake shemelaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] James Delicious kashaishiwa, hana mpyaa mjini.[emoji23][emoji23][emoji23]
Ni kukupanikisha tu, utamwaga kila kitu[emoji23]
Ngoja nitafute angle
Haswaaa.Yes tunapoenda elimu kubwa haitakua tena na maana
Nitaanza kumfatilia kwa karibu zaidi
Wala mm sina time kabisa, tatizo kuna mambo unayakuta bila hata kujua imekuaje.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila shem wee mpana
Wewe unajiitaga kungwi, kama hujui ulijiita vipi hivyo?
Nakusahaulisha alafu nakuweka kati utajaa tuuNajua jinsi ya kukukwepa ss hivi!! [emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee.
Sema mbishi yule, Ila nitajua tu namna ya kumfatilia kwa karibu akiwa hukoFanya hivo [emoji23]