[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbna hatariii sanaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sijui anapika vitu gani vinachukua muda mrefu [emoji23]
Wengi gani bana, nipo na kyuti tu. Hapa nilipo nishammiss[emoji7]
Sasa hivi yupo busy sana
Na mm naona vibe kama lote. Leo nipo na samaki[emoji1787][emoji1787], wamekuja bila kuparwa nimetumia saa nzima kuwapara[emoji1787]
View attachment 2750299
Sema umempenda yupi, nikuunganishie
Na masufuria nilinunua kwa mama ake mdogo na kyuti
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nipee screenshots nionee.
Hujuii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndo kwanza nakusikia hapa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbna hatariii sanaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
500, but according to my conditions and agreement 😂🤣.Unataka ng'ombe wangapi 😅😅
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] chagua nikachekee wapii??Screenshot ya nini? Kwan we mtoto?
Mumeo kakumiss kipeleke kibama hiko [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] atawekwa spooning, ila mie sio wa kumfanyia haya baba wa watu.Sasa na ule unene si balaa dada Farida jamani!! [emoji23]
Akidondokea tumbo lile si hatari
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aseeeh mbna nisingeachwa kizembe, gari niliachee? Thubutuuu.Wewe si ndio ulikuwa unaendea saloon mara hii umesahau? [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mume wa mtu huyo, huogopiiii?Vipo jikoni kainjika viazi na samaki za mwanza mwenzangu [emoji23][emoji23]
Naandaa pilipili na ndimu hapa
500, but according to my conditions and agreement 😂🤣.
👉Pesa ita lipwa baada ya ng'ombe kupokelewa🤣😁
Shida una hisi wote tuna tumia fiber ya hapo kwako🤣😂😁
😅😅 kula mawe hayo enzi za Sir Nature ..Shida una hisi wote tuna tumia fiber ya hapo kwako🤣😂😁