Nishakujua wewe ni mubebez wa CountrywideAna udugu wengi huyu cocastic sijui ni yupi?
Mi mgeni bado sijaingizwa bado kwenye uduguz zake [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nishakujua wewe ni mubebez wa CountrywideAna udugu wengi huyu cocastic sijui ni yupi?
Mi mgeni bado sijaingizwa bado kwenye uduguz zake [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] hii vibe kama nimeielewa hivi. Karibu hapa naandaa mambo kwa kitchenBora nienjoy, kirikii kikikii
Maisha mafupi ni simple kiriki kaaka kah
Ya nini niteseke roho,
Jiunge na Lamomy upoze koo.
Jiungee na mimi [emoji23][emoji23]
Huyo ni mgeni, ni dume hiloNishakujua wewe ni mubebez wa Countrywide
Kumbe chief🙌Huyo ni mgeni, ni dume hilo
Nishakujua wewe ni mubebez wa Countrywide
[emoji23][emoji23][emoji23] hii vibe kama nimeielewa hivi. Karibu hapa naandaa mambo kwa kitchen
Huyo ni mgeni, ni dume hilo
Kumbe chief[emoji119]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anajua yeye alicho soma.Tobaaa
Kasoma Nini sasa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sitakiii nishauriweee.Bora nienjoy, kirikii kikikii
Maisha mafupi ni simple kiriki kaaka kah
Ya nini niteseke roho,
Jiunge na Lamomy upoze koo.
Jiungee na mimi [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mabwakuuu.Yupi? Mana anao wengi, alafu me humu mgeni bado sijapata mume nitafutie basi.[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vibe la kumaliza mkopo wa kausha damu [emoji23]
Nasubiri huo msosi nijionee [emoji39]
Mchumba unampataje dark web?Huko kila kitu hata ukitaka muuaji, kifaru, madawa , mchumba.. porn zisizo za ulimwengu huu.. watu wakichnjwa live.. ila pia hacker wa kukodi.. kuna mazuri na mabaya ni wewe tu.. na utakuwa umepata connection ipi.. maana link za huko zipo kimichongo michongo
Dark kila kitu kinapatikana, isipokuwa kupata link husika.. huko hata biashara ya watu na viungo infanyika sana.. mtihani unakuja link husika.. pamekaa kimachale machale sanaMchumba unampataje dark web?
Na ukikosea unahackiwa sio?Dark kila kitu kinapatikana, isipokuwa kupata link husika.. huko hata biashara ya watu na viungo infanyika sana.. mtihani unakuja link husika.. pamekaa kimachale machale sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sitakiii nishauriweee.
Kuhakiwa inategemea ume configure vipi machine yako, na unaitumiaje.. mala nyingi mtu hufungua mlango wa kuhakiwa kama ana ma point mengi ya kuilia.. Na usiingie kule kwa computer yako official.. uwe na computer maalumu ya kuzamia huko.. ambayo haina issue yote ile hata likatokea la kutokea huna cha kupotezaNa ukikosea unahackiwa sio?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nigawie mie pesa hizo.[emoji23][emoji23][emoji23]
Km umemchoka tuachie sisi,
Tumle mpk mifupa ss ndo mafisi
Sawa nimeachika, ila naburudika
Sipangiwi na mbwa yeyote pesa inatumika