Mention someone without any reason just to disturb them

Mention someone without any reason just to disturb them

Bora nienjoy, kirikii kikikii
Maisha mafupi ni simple kiriki kaaka kah
Ya nini niteseke roho,
Jiunge na Lamomy upoze koo.
Jiungee na mimi [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] hii vibe kama nimeielewa hivi. Karibu hapa naandaa mambo kwa kitchen
 
Bora nienjoy, kirikii kikikii
Maisha mafupi ni simple kiriki kaaka kah
Ya nini niteseke roho,
Jiunge na Lamomy upoze koo.
Jiungee na mimi [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sitakiii nishauriweee.
 
Huko kila kitu hata ukitaka muuaji, kifaru, madawa , mchumba.. porn zisizo za ulimwengu huu.. watu wakichnjwa live.. ila pia hacker wa kukodi.. kuna mazuri na mabaya ni wewe tu.. na utakuwa umepata connection ipi.. maana link za huko zipo kimichongo michongo
Mchumba unampataje dark web?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sitakiii nishauriweee.

[emoji23][emoji23][emoji23]
Km umemchoka tuachie sisi,
Tumle mpk mifupa ss ndo mafisi
Sawa nimeachika, ila naburudika
Sipangiwi na mbwa yeyote pesa inatumika
 
Na ukikosea unahackiwa sio?
Kuhakiwa inategemea ume configure vipi machine yako, na unaitumiaje.. mala nyingi mtu hufungua mlango wa kuhakiwa kama ana ma point mengi ya kuilia.. Na usiingie kule kwa computer yako official.. uwe na computer maalumu ya kuzamia huko.. ambayo haina issue yote ile hata likatokea la kutokea huna cha kupoteza
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Km umemchoka tuachie sisi,
Tumle mpk mifupa ss ndo mafisi
Sawa nimeachika, ila naburudika
Sipangiwi na mbwa yeyote pesa inatumika
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nigawie mie pesa hizo.
 
Back
Top Bottom