Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Miss u tooDepal nimekumic kinomaaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miss u tooDepal nimekumic kinomaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tena tutazikwa tumesimama wima.Mapenzi yana wenyewe,
Sie wengine tuache shobo,
Tutazikwa wazima wazima,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tobaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hata history 1 ya 4m 5 haijui inafananaje.
Nahisi wewe ni udugu wa udugu wake cocastic
Niko hapa Babe😘Chocs Arushaone Valentina Watu8 figganigga FirstLady1 CharmingLady BAK sijui yupo wapi Baba V
Nimesahau wengi asee
Soon.. naanza fundisha vijana namna sahihi kutumka deep web pamoja na dark web..My bro National Anthem,
Unapigwa, kua makini na hawa online gurusSoon.. naanza fundisha vijana namna sahihi kutumka deep web pamoja na dark web..
View attachment 2749983View attachment 2749984View attachment 2749985View attachment 2749986
C.c mshamba_hachekwi
😅😅😅 kupigwa mala moja wakati wa kwenda.. nataka anza darasa niachie vijana ujuzi wa Deep web na Dark weeb...Unapigwa, kua makini na hawa online gurus
deep web na dark web zinatumika kwenye nini😅😅😅 kupigwa mala moja wakati wa kwenda.. nataka anza darasa niachie vijana ujuzi wa Deep web na Dark weeb...
weye mtaalamu wa computer na haujui ?deep web na dark web zinatumika kwenye nini
nimeona illegal trade kwahiyo mtakua mnauza madawa sioweye mtaalamu wa computer na haujui ? View attachment 2750016
Huko kila kitu hata ukitaka muuaji, kifaru, madawa , mchumba.. porn zisizo za ulimwengu huu.. watu wakichnjwa live.. ila pia hacker wa kukodi.. kuna mazuri na mabaya ni wewe tu.. na utakuwa umepata connection ipi.. maana link za huko zipo kimichongo michongonimeona illegal trade kwahiyo mtakua mnauza madawa sio
Na kuhackiwa ka simu au contact zako ni kugusa tu😂🤣Huko kila kitu hata ukitaka muuaji, kifaru, madawa , mchumba.. porn zisizo za ulimwengu huu.. watu wakichnjwa live.. ila pia hacker wa kukodi.. kuna mazuri na mabaya ni wewe tu.. na utakuwa umepata connection ipi.. maana link za huko zipo kimichongo michongo
inakuwa kama kamchezo haka.. 😅😅😅Na kuhackiwa ka simu au contact zako ni kugusa tu😂🤣
Dah🤣😂🤣😁😁, ni hatari🤣inakuwa kama kamchezo haka.. 😅😅😅View attachment 2750163
lala
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tena tutazikwa tumesimama wima.
Tutulizaneee. Woiiiiih
Unataka ng'ombe wangapi 😅😅Dah🤣😂🤣😁😁, ni hatari🤣