Mention someone without any reason just to disturb them

Mention someone without any reason just to disturb them

Mapenzi yana wenyewe,
Sie wengine tuache shobo,
Tutazikwa wazima wazima,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tena tutazikwa tumesimama wima.
Tutulizaneee. Woiiiiih
 
Soon.. naanza fundisha vijana namna sahihi kutumka deep web pamoja na dark web..
Screenshot_20230915-144110.png
Screenshot_20230915-144126.png
Screenshot_20230915-144140.png
Screenshot_20230915-144154.png



C.c mshamba_hachekwi
 
nimeona illegal trade kwahiyo mtakua mnauza madawa sio
Huko kila kitu hata ukitaka muuaji, kifaru, madawa , mchumba.. porn zisizo za ulimwengu huu.. watu wakichnjwa live.. ila pia hacker wa kukodi.. kuna mazuri na mabaya ni wewe tu.. na utakuwa umepata connection ipi.. maana link za huko zipo kimichongo michongo
 
Huko kila kitu hata ukitaka muuaji, kifaru, madawa , mchumba.. porn zisizo za ulimwengu huu.. watu wakichnjwa live.. ila pia hacker wa kukodi.. kuna mazuri na mabaya ni wewe tu.. na utakuwa umepata connection ipi.. maana link za huko zipo kimichongo michongo
Na kuhackiwa ka simu au contact zako ni kugusa tu😂🤣
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tena tutazikwa tumesimama wima.
Tutulizaneee. Woiiiiih

Bora nienjoy, kirikii kikikii
Maisha mafupi ni simple kiriki kaaka kah
Ya nini niteseke roho,
Jiunge na Lamomy upoze koo.
Jiungee na mimi [emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom