Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Yupo mbali sanaKweli? Mfate km umemmiss ukampunguzie ubusy [emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] chagua nikachekee wapii??
[emoji23][emoji23] nioe tu, hii ya njoo ondoka inasumbua sana.[emoji23][emoji23][emoji23]
Jamani samaki za Mwanza hizo[emoji39]
Ko tunakula samaki na viazi leo
Nacheka had machozi ujue
Sina ex huku, huku nipo kwa kyuti together foreverNitafutie wewe bana hata ex wako nipe [emoji23]
[emoji23][emoji23] anauziwa kinguvu then analeta kwangu[emoji23][emoji23]
Mmefika mbali, mpk masufuria mnaungishana?!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] atawekwa spooning, ila mie sio wa kumfanyia haya baba wa watu.
Kaanza kupoa km zamani. Anaishia ku like tyuuh.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aseeeh mbna nisingeachwa kizembe, gari niliachee? Thubutuuu.
Kwa tabu sana but vitalika tu[emoji23], nishakua fundi dada hana tena kaziVipo jikoni kainjika viazi na samaki za mwanza mwenzangu [emoji23][emoji23]
Naandaa pilipili na ndimu hapa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mume wa mtu huyo, huogopiiii?
Yupo mbali sana
[emoji23][emoji23] nioe tu, hii ya njoo ondoka inasumbua sana.
Ngoja nika tafute Wi-Fi ya hotelini😂😁
Sina ex huku, huku nipo kwa kyuti together forever
Nikishapenda huwa nakua sina break, hii misosi hutaki?Huyu mume mtu ananinyapia balaa, had jikoni kaingia kupika kwaajiri yangu [emoji23]
Ananitafutia maneno na dada yako
[emoji23][emoji23] anauziwa kinguvu then analeta kwangu
ThailandWapi? [emoji23]
Ndio nataka iwe official mke awe anakaa hapa hapa[emoji23][emoji23]
Kumbe anakuja na kuondoka?
Ndio nachotaka sababu nampenda sanaEeeh!! Huyo atakuwa anahamia kidogo kidogo kashaanza kuleta masufuria, soon ataleta nguo mwisho atahamia mwenyewe kabisa!
Uwe makini naye [emoji23][emoji23]
Kwa tabu sana but vitalika tu[emoji23], nishakua fundi dada hana tena kazi