Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Kyuti fundi sana, sema mvivu anaweza kutumia siku nzima kupika[emoji23]
[emoji23][emoji23]
Anapika siku nzima?
Anakuwa anapika makande au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kyuti fundi sana, sema mvivu anaweza kutumia siku nzima kupika[emoji23]
Basi tuyajenge
Kuna muda hadi naona wivu
Mbna mabwakuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndio hivo [emoji23][emoji23]
Anapika kabla hajamaliza anaenda kulala, anarudi anaendelea tena, yupo slow sana[emoji23][emoji23]
Anapika siku nzima?
Anakuwa anapika makande au?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka km chizii, anakaba had penalty.. Woiiiiih.Na asu mabakuli ana pua kali ananusa huyo!! Hatajwi lazima ajilete na mabakuli yake.
Anahisi anaibiwa muda wote [emoji23][emoji23]
Mbna mabwakuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee shemeji wa lamomy hebuu njoo nikuoneee, nijiridhishe, uje na hilo gari prado.Anacho cha pesa sio km cha asu mabakuli cha michicha ya chooni [emoji23][emoji23]
Anapika kabla hajamaliza anaenda kulala, anarudi anaendelea tena, yupo slow sana
Ile mikono laini mno
Hilo limeisha...Njoo pm nikupe namba uniletee huo msosi[emoji39]
Naolewa kimya kimya mie? Akati harusi itakua ktk Chanel mbali mbali za TV.Cacastic kumbe unataka kuolewa kimya kimya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka km chizii, anakaba had penalty.. Woiiiiih.
Afu haogopiii sasa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee shemeji wa lamomy hebuu njoo nikuoneee, nijiridhishe, uje na hilo gari prado.
Hapo ndio ananivuruga sana, sema kikiiva kipo vizuri sana. Ni lifundi sema basi tu anajilemazaKyuti anadeka ndio mapishi gani hayo ya kupika na kwenda kulala kabla chakula hakijaiva? [emoji23]
Hilo limeisha...
Naolewa kimya kimya mie? Akati harusi itakua ktk Chanel mbali mbali za TV.
JF kutakua na crew yao. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Star km mie, afu kimya kimya? Nani kasema.
Jf yote ipo kiganjani mwako, sema huwa una mikwara sana[emoji23][emoji23]Naolewa kimya kimya mie? Akati harusi itakua ktk Chanel mbali mbali za TV.
JF kutakua na crew yao. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Star km mie, afu kimya kimya? Nani kasema.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vocha za buree wanapataa, si shem wao kwa toleo jipyaa, anawapa kwa muamalaa.Wee [emoji23][emoji23][emoji23]
Atakuwa ndugu na Wagner huyo
Au Alshabab kyuti?
Nimeona wana hasira muda wote, vocha za bure kwishney
Noumaaaa!!![emoji1787] hataree