Mention someone without any reason just to disturb them

Mention someone without any reason just to disturb them

Na asu mabakuli ana pua kali ananusa huyo!! Hatajwi lazima ajilete na mabakuli yake.
Anahisi anaibiwa muda wote [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka km chizii, anakaba had penalty.. Woiiiiih.
Afu haogopiii sasa
 
Anacho cha pesa sio km cha asu mabakuli cha michicha ya chooni [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee shemeji wa lamomy hebuu njoo nikuoneee, nijiridhishe, uje na hilo gari prado.
 
Cacastic kumbe unataka kuolewa kimya kimya
Naolewa kimya kimya mie? Akati harusi itakua ktk Chanel mbali mbali za TV.
JF kutakua na crew yao. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Star km mie, afu kimya kimya? Nani kasema.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka km chizii, anakaba had penalty.. Woiiiiih.
Afu haogopiii sasa

Haogopi kabisa!
Kashafuzu kawa master shivo
Asu mabakuli kashindikana
Huyu atampindua Agrey kashakua konki [emoji23][emoji23]
 
Naolewa kimya kimya mie? Akati harusi itakua ktk Chanel mbali mbali za TV.
JF kutakua na crew yao. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Star km mie, afu kimya kimya? Nani kasema.
Jf yote ipo kiganjani mwako, sema huwa una mikwara sana[emoji23][emoji23]
 
Wee [emoji23][emoji23][emoji23]
Atakuwa ndugu na Wagner huyo
Au Alshabab kyuti?
Nimeona wana hasira muda wote, vocha za bure kwishney
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vocha za buree wanapataa, si shem wao kwa toleo jipyaa, anawapa kwa muamalaa.

Useme wanalia kisa chimbo LA kupepesuka nalo wamelifyekelea mbali na ukute hawakua na chimbo lingine, mbna kisangaaa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sisi wengine, JF iko mabegani kila tunapo timba oyaaa oyaaa.
 
Back
Top Bottom