Mention someone without any reason just to disturb them

Mention someone without any reason just to disturb them

Naolewa kimya kimya mie? Akati harusi itakua ktk Chanel mbali mbali za TV.
JF kutakua na crew yao. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Star km mie, afu kimya kimya? Nani kasema.
Unazingua inatakiwa itangazwe mara tatu ili wale wapingaji wajitokeze.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vocha za buree wanapataa, si shem wao kwa toleo jipyaa, anawapa kwa muamalaa.

Useme wanalia kisa chimbo LA kupepesuka nalo wamelifyekelea mbali na ukute hawakua na chimbo lingine, mbna kisangaaa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sisi wengine, JF iko mabegani kila tunapo timba oyaaa oyaaa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ko chimbo la kupepesukia limefyekwa??
Nasikia mbona hata miamala hawapewi ndiomana daily wana stress hawako active na magazeti yao.

Na toleo jipya kaachika kaambiwa kafanye kazi na wewe una vipira km mimi tu[emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ko chimbo la kupepesukia limefyekwa??
Nasikia mbona hata miamala hawapewi ndiomana daily wana stress hawako active na magazeti yao.

Na toleo jipya kaachika kaambiwa kafanye kazi na wewe una vipira km mimi tu[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wallah nakufaa kwa kuchekaaa.
Naogopaa lakiniii, afu najistukiaa.
Sio wa kufanya haya lakinii, hebu mniombeee nitokwe na huu upepo mchafu.

Nifundishe kunyamaza.
 
Itatangazwaaa miez 3, wenye pingamizi wajitokezee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Harusi ninayooo mbna.

[emoji23][emoji23]
Mbona harusi nyingi nitashindwa kujigawanya.
Haya nani huyo kafika bei?
Anataka kuchukua goma la boss?
Anataka battle na boss ataweza?!
 
[emoji23][emoji23]
Mbona harusi nyingi nitashindwa kujigawanya.
Haya nani huyo kafika bei?
Anataka kuchukua goma la boss?
Anataka battle na boss ataweza?!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] notification za likes, zinanivuruga na zinaogopeshaa.
Nimechagua kuwa kimyaa, sijasema kitu mie.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wallah nakufaa kwa kuchekaaa.
Naogopaa lakiniii, afu najistukiaa.
Sio wa kufanya haya lakinii, hebu mniombeee nitokwe na huu upepo mchafu.

Nifundishe kunyamaza.

Mdogo ake kyuti naenda kulala [emoji23][emoji23]
Nisije kusutwa bure hapa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] notification za likes, zinanivuruga na zinaogopeshaa.
Nimechagua kuwa kimyaa, sijasema kitu mie.

Boss kalimiss goma lake [emoji23][emoji23]
Anataka kurudisha majeshi
Chezea vibuno vya kingoni
 
Back
Top Bottom