zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,846
Kajina kako tena tunaweza kafupisha zaidi uwe Leny[emoji23][emoji4]Sawa sitabadilika
Usijefanya visa mimi na wivuSawa sitabadilika
Aawwwπ€π€π€π π π π π π₯°
πππππππππππππππππππ
[emoji23][emoji23]Usijefanya visa mimi na wivu
Na moyo utaniumiza mimi na wivu
Naogopa watakuteka mimi na wivu
Sitaki nile mbichi wao mbivu
Hahaaa Leny imekaa bomba piaKajina kako tena tunaweza kafupisha zaidi uwe Leny[emoji23][emoji4]
Jana, leo na kesho nitabaki kua good girlUsijefanya visa mimi na wivu
Na moyo utaniumiza mimi na wivu
Naogopa watakuteka mimi na wivu
Sitaki nile mbichi wao mbivu
Brain Heriel mbona unamtag kwenye comment yangu[emoji23]
Nimeshtuka nilivyoota mnazareth nkajua ni mimi wa JF way back toka nipo secondary tukibaa shikamoo hapa nami hapa sidhani km ntakosa wadogo zangu
Jana, leo na kesho nitabaki kua good girl
Amen rafiki,Soulmate ,ubarikiweJisikie huru kabisa kunidistabu soulimeti. Roho zetu zimeshonanishwa kimalimwengu na kinachokudistabu wewe ni lazima kitanidistabu na mimi pia. Na kwa vile kinatudistabu wote katika kiwango cha roho na urazini, basi kunidistabu kwako ni faraja kubwa sana kwangu [emoji16][emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Hapana. Leny ni jina la kiume. Mnakoelekea siyo kwenyewe sasa [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]Hahaaa Leny imekaa bomba pia
Ohoo kumbe! Akili za usiku hiziπHapana. Leny ni jina la kiume. Mnakoelekea siyo kwenyewe sasa [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
Ujumbe una dedicate kwa warumi au maana ye yupo humu kazi Burr ii kwa ajili umbea sio kupata skills au knowledge yotote......I'm ready kwa kuchambwaJIUNGE unlimited bundle huko, alafu wewe si ni mtoiiii kakojoe ulae .ππππππ
View attachment 1566902
Nawasumbua tu. Yawezekana lipo kote kote. Kuna mchezaji mmoja wa Simba alikuwa akiitwa Ramadhan Leny (RIP). Nimetolea reference kwa huyu mmoja tu....Ohoo kumbe! Akili za usiku hizi[emoji14]
[emoji23][emoji23]haya Eleny sasaOhoo kumbe! Akili za usiku hizi[emoji14]
Hili litakua refu sana sasa[emoji23][emoji23]haya Eleny sasa