Mention someone without any reason just to disturb them

Mention someone without any reason just to disturb them

Niko poa mdogo angu, shida gani hiyo tena??
Haya niko hapa niambie nakusikiliza

naandik nafuta.. nashindwa jins ya kujieleza hapa ila ni issue ya muhim,, nmejarib kkuPM ila nimeshindwa pia
 
Ngoja nikaangalie tena😂
We si hunijui 😆
Nadhani raraa reree amekariri mpaka kope. Ila ungepitia comments ungejua sbb nilifungiwa hii kwa miezi miwili kisa name calling. Ndio nikadaka ile na nikajisema ni nani.

Kuna moja nimeisahau paxwad mpk email. Siwezi ipata tena,, ilikuwa ina jina zuri nalipenda. Nilikuwa namzingua nayo Mahonda 😂😂😂 mpk hiyo siku Makiwendo akanidaka na Mahoo akaona
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] humu jf ukiwa na adui wa kudumu kichwa chako kitakuwa sio kizuri ujue
😂😂 wee unamkumbuka yule mmiliki wa ile matipo iliyokujaga makapuku kujifanya inajua sana uswahili kutukana? Sasa kama huyo wala si uadui, ni vile unamfungia vioo tu.
 
Zimeisha sasa ushachelewa, si unajua wabongo nyimbo moja biscuit 4 mpk ufikishe kusikiliza nyimbo 3 na habari imekwishaaaa..!!😂😂😂😂
Mbongo yake mipopcorn ya chumvi
Na humpi kinywaji, 🤣🤣 hapo anaweza maliza files zote.
 
We si hunijui 😆
Nadhani raraa reree amekariri mpaka kope. Ila ungepitia comments ungejua sbb nilifungiwa hii kwa miezi miwili kisa name calling. Ndio nikadaka ile na nikajisema ni nani.

Kuna moja nimeisahau paxwad mpk email. Siwezi ipata tena,, ilikuwa ina jina zuri nalipenda. Nilikuwa namzingua nayo Mahonda 😂😂😂 mpk hiyo siku Makiwendo akanidaka na Mahoo akaona
Nakujua kama sala ya baba yetu 😄
 
Back
Top Bottom