Ngoja nikaangalie tenaπNot a big deal as that π
Ww na antonnia ndio sababu[emoji23]
Ngoja nisogelee cookies wakati namalizia kulia na kwikwi [emoji1787]
Ila hujui tu namna nimecheka Shunie
Na ile kauli yako [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
ππππ mambo ni mengi humuIla weweπ€£π€£π€£. Mimi nilikuwa sijui chochote
Alinitukana kuna siku nikafunga kopo, siku ingine katukana tena kumjibu ikawa ugomvi.Mabakuli kakufanyaje tena maana naskia ndio post ikapigwa ban
Niko poa mdogo angu, shida gani hiyo tena??
Haya niko hapa niambie nakusikiliza
Nakufungulia pm njoonaandik nafuta.. nashindwa jins ya kujieleza hapa ila ni issue ya muhim,, nmejarib kkuPM ila nimeshindwa pia
We si hunijui πNgoja nikaangalie tenaπ
ππ wee unamkumbuka yule mmiliki wa ile matipo iliyokujaga makapuku kujifanya inajua sana uswahili kutukana? Sasa kama huyo wala si uadui, ni vile unamfungia vioo tu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] humu jf ukiwa na adui wa kudumu kichwa chako kitakuwa sio kizuri ujue
Amelala
Mbongo yake mipopcorn ya chumviZimeisha sasa ushachelewa, si unajua wabongo nyimbo moja biscuit 4 mpk ufikishe kusikiliza nyimbo 3 na habari imekwishaaaa..!!ππππ
ππAmelala
Nakujua kama sala ya baba yetu πWe si hunijui π
Nadhani raraa reree amekariri mpaka kope. Ila ungepitia comments ungejua sbb nilifungiwa hii kwa miezi miwili kisa name calling. Ndio nikadaka ile na nikajisema ni nani.
Kuna moja nimeisahau paxwad mpk email. Siwezi ipata tena,, ilikuwa ina jina zuri nalipenda. Nilikuwa namzingua nayo Mahonda πππ mpk hiyo siku Makiwendo akanidaka na Mahoo akaona
Jana wasap ulinikosa kuanzia saa ngapi? Nililala saa 2 na nusu. Nimeamka 12 kasoro ππππ
huwa unaamka na kulala sangapi kamamaa..?