Lia πUjue mimi sipendagi wanawake tugombane yaaniπ₯Ί
Hii iko kidunia wanawake lazima tugombane, na ugomvi wetu mkubwa ni hawa binadamu wenye makengele π€£π€£π€£π€£Ujue mimi sipendagi wanawake tugombane yaaniπ₯Ί
Hamna, mbona humu kuna watu poa sana Mf ni Depal na Leejay49ππππ Sehemu yenye fake idβs usitegemee kupata rafiki wa kweli..!!
Humu rafiki yako akiogopa kukwambia ukweli anakwambia kwa id nyingine sasa ndio nini??
Halafu urafiki wa humu ni wa kunafikiana sana!! Ukiona siri zako nyingi zinatoka bila kujua ujue rafiki yako anazitoa.
Sema mimi nikimpenda mtu nampenda kweli sio kinafiki, ila akizingua ndio sielewiii!!!
Mambo nimeona kama umenitag hivi halaf sion kitu ππHalafu coca bwana mtu mmoja hivi hata akinuna ni hapo hapo mkionana kesho kama hakijatokea kitu na vicheko vyake atakuja makapuku nimewamiss jamaniii [emoji1787] hata kama jana alipewa maneno ya kutusema ana akachangia me nampenda tu
Sasa Sio vizuri kabisa, halafu ujue kuna kipindi nilitaka uniajiri dukani kwako jobless mimiπ€£π€£π€£π€£. ila ukahisi kama nimetumwa sijui nikaomba unitafute kabisaπ₯ΊππππHii iko kidunia wanawake lazima tugombane, na ugomvi wetu mkubwa ni hawa binadamu wenye makengele π€£π€£π€£π€£
Wanawake tumeumbiwa wivu na ubinafsi
Sababu hujawahi kuingia anga zao ukawazingua, binadamu wote ni wastaarabu kabla hujawaudhi ila ukiwatibua lazima wakuonyeshe upande wao wa pili..!!
Hii ni Kweli kabisa, ila mkikoseana ni bora tukaambiana private inapendeza zaidiSababu hujawahi kuingia anga zao ukawazingua, binadamu wote ni wastaarabu kabla hujawaudhi ila ukiwatibua lazima wakuonyeshe upande wao wa pili..!!
π€£π€£π€£π€£π€£ duka which? Mi mwenyewe jobless naswampa JF labda Max anaweza kuniita niwe nawaandalia chai watoa banSasa Sio vizuri kabisa, halafu ujue kuna kipindi nilitaka uniajiri dukani kwako jobless mimiπ€£π€£π€£π€£. ila ukahisi kama nimetumwa sijui nikaomba unitafute kabisaπ₯Ίππππ
Mimi niwe mkweli nikikukwaza ukiniambia private sina shida au ukiniambia jukwaani kwa id yako ninayoijua hiyo sina tatizo kabisaa!!Hii ni Kweli kabisa, ila mkikoseana ni bora tukaambiana private inapendeza zaidi
Mambo nimeona kama umenitag hivi halaf sion kitu [emoji23][emoji23]
We unamjua Depal wa nje ya JF π€£π€£ Wa nje yuko poa. ππ
2nd half ni lini Nkamu?Mimi niwe mkweli nikikukwaza ukiniambia private sina shida au ukiniambia jukwaani kwa id yako ninayoijua hiyo sina tatizo kabisaa!!
Ila ukija kwa njia za panya lazima nikufurahishe [emoji23][emoji23][emoji23]
na kwanini umtibue rafikiSababu hujawahi kuingia anga zao ukawazingua, binadamu wote ni wastaarabu kabla hujawaudhi ila ukiwatibua lazima wakuonyeshe upande wao wa pili..!!
Hapo sawa.Mimi niwe mkweli nikikukwaza ukiniambia private sina shida au ukiniambia jukwaani kwa id yako ninayoijua hiyo sina tatizo kabisaa!!
Ila ukija kwa njia za panya lazima nikufurahishe πππ
Mno aisee, ila huku unajichetua sanaπππWe unamjua Depal wa nje ya JF π€£π€£ Wa nje yuko poa. ππ
Ni kweli wapo marafiki wazuri watu tunajuana humu na tunaonana hakuna kwere kabisaNilimwambia lamomy alisema humu hakuna rafiki nikamwambia marafiki wapo tena wazuri na hujutiii kuwafahamu niliowatag na we ulikuwepo mama [emoji1787][emoji1787] katika rafiki zangu
Udugu apige rivasi tu hakuna namna[emoji23][emoji23][emoji23] we nawe mpana wifi yangu
π€£π€£π€£π€£ niliona shem anaongelea kuhusu aifoni 12πππ we nawe mpana wifi yangu
Ugweee πππ2nd half ni lini Nkamu?
Si ndio hapo sasa rafiki unatakiwa umuheshimu hasa anayesimama na ww kwa shida na raha ππππna kwanini umtibue rafiki