Mention someone without any reason just to disturb them

Hamna, mbona humu kuna watu poa sana Mf ni Depal na Leejay49
 
Halafu coca bwana mtu mmoja hivi hata akinuna ni hapo hapo mkionana kesho kama hakijatokea kitu na vicheko vyake atakuja makapuku nimewamiss jamaniii [emoji1787] hata kama jana alipewa maneno ya kutusema ana akachangia me nampenda tu
Mambo nimeona kama umenitag hivi halaf sion kitu πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hii iko kidunia wanawake lazima tugombane, na ugomvi wetu mkubwa ni hawa binadamu wenye makengele 🀣🀣🀣🀣
Wanawake tumeumbiwa wivu na ubinafsi
Sasa Sio vizuri kabisa, halafu ujue kuna kipindi nilitaka uniajiri dukani kwako jobless mimi🀣🀣🀣🀣. ila ukahisi kama nimetumwa sijui nikaomba unitafute kabisaπŸ₯ΊπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Sasa Sio vizuri kabisa, halafu ujue kuna kipindi nilitaka uniajiri dukani kwako jobless mimi🀣🀣🀣🀣. ila ukahisi kama nimetumwa sijui nikaomba unitafute kabisaπŸ₯ΊπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
🀣🀣🀣🀣🀣 duka which? Mi mwenyewe jobless naswampa JF labda Max anaweza kuniita niwe nawaandalia chai watoa ban
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…