Mention someone without any reason just to disturb them

Mention someone without any reason just to disturb them

😂😂😂😂 Sehemu yenye fake id’s usitegemee kupata rafiki wa kweli..!!
Humu rafiki yako akiogopa kukwambia ukweli anakwambia kwa id nyingine sasa ndio nini??
Halafu urafiki wa humu ni wa kunafikiana sana!! Ukiona siri zako nyingi zinatoka bila kujua ujue rafiki yako anazitoa.
Sema mimi nikimpenda mtu nampenda kweli sio kinafiki, ila akizingua ndio sielewiii!!!
Hamna, mbona humu kuna watu poa sana Mf ni Depal na Leejay49
 
Halafu coca bwana mtu mmoja hivi hata akinuna ni hapo hapo mkionana kesho kama hakijatokea kitu na vicheko vyake atakuja makapuku nimewamiss jamaniii [emoji1787] hata kama jana alipewa maneno ya kutusema ana akachangia me nampenda tu
Mambo nimeona kama umenitag hivi halaf sion kitu 😂😂
 
Hii iko kidunia wanawake lazima tugombane, na ugomvi wetu mkubwa ni hawa binadamu wenye makengele 🤣🤣🤣🤣
Wanawake tumeumbiwa wivu na ubinafsi
Sasa Sio vizuri kabisa, halafu ujue kuna kipindi nilitaka uniajiri dukani kwako jobless mimi🤣🤣🤣🤣. ila ukahisi kama nimetumwa sijui nikaomba unitafute kabisa🥺😂😂😂😂
 
Sasa Sio vizuri kabisa, halafu ujue kuna kipindi nilitaka uniajiri dukani kwako jobless mimi🤣🤣🤣🤣. ila ukahisi kama nimetumwa sijui nikaomba unitafute kabisa🥺😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣 duka which? Mi mwenyewe jobless naswampa JF labda Max anaweza kuniita niwe nawaandalia chai watoa ban
 
Back
Top Bottom