Mention someone without any reason just to disturb them

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ulinichekesha raraa alivyosema sio mguu wa depal huu!! Ukajikana mara tatu km Petro alivyomkana Yesu dah!!
Nilijifikiria nimjibu. Nikaona nimwambie sijakuelewa 🀣🀣 jioni nikawaita
Nakuja huku nakushangaa unaihadithia km ni umbea flani heavy, nikaona nikujibu
 
Nilijifikiria nimjibu. Nikaona nimwambie sijakuelewa 🀣🀣 jioni nikawaita
Nakuja huku nakushangaa unaihadithia km ni umbea flani heavy, nikaona nikujibu
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Ila nilicheka sana jana
Ukaona nyie mods msinitanie mnanipaje ban kwenye uzi pendwa!!
 
Nakazia [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapo ni 13 pro/ 14 pro.. sbb naiona fupi haina urefu wa PM

Ma PM mabaya
Ule urefu na uzito

[emoji1787][emoji1787] hamna ni 14 promax me napenda kubwa kubwa sijui kwa sababu ni mshangazi picha ya mwanzo ilijikata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…