Mention someone without any reason just to disturb them

Mention someone without any reason just to disturb them

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ulinichekesha raraa alivyosema sio mguu wa depal huu!! Ukajikana mara tatu km Petro alivyomkana Yesu dah!!
Nilijifikiria nimjibu. Nikaona nimwambie sijakuelewa 🀣🀣 jioni nikawaita
Nakuja huku nakushangaa unaihadithia km ni umbea flani heavy, nikaona nikujibu
 
Nilijifikiria nimjibu. Nikaona nimwambie sijakuelewa 🀣🀣 jioni nikawaita
Nakuja huku nakushangaa unaihadithia km ni umbea flani heavy, nikaona nikujibu
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Ila nilicheka sana jana
Ukaona nyie mods msinitanie mnanipaje ban kwenye uzi pendwa!!
 
Back
Top Bottom