Huyo atakuwa wa bush mwenzetu anayekaa storeKuna siku nilipost status nimeegemea kabati la handbags nikaulizwa nauza [emoji1787][emoji1787] nipo dukani
Kweli umevuka na hutaki hata kupoteza muda wako [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila na uzuri unachangia kukupa jeuri plus mkwanja
Wenye yeboyebo tunazitolea macho zile skuna jamani
Sema navaa 42,vinginevyo nibgekupora.
Nilisema mimi humu ndani mabossledi ni watatu tu
Shunie,lamomi na udugu wake[emoji91][emoji91][emoji7]
Hongera kwa urembo mkuu.
Ila yule mtu π€£π€£Kuna siku nilipost status nimeegemea kabati la handbags nikaulizwa nauza [emoji1787][emoji1787] nipo dukani
Kantry ananipa utajiri nisiokuwa nao ujue πππππ[emoji1787][emoji1787][emoji1787] na vile hawakuelewi
Mwanamke handbags bwana, hata mimi napenda sio siri!
ππ ah kubabekiAngalau haijastackππ₯π₯π₯π₯
Watu wa bush tunajua hapo duka la mikoba
Kumbe chumbani bwana
Jamani akiyanani πππ
ππππ Nkamu mi nitoe puliiizzzzWenye yeboyebo tunazitolea macho zile skuna jamani
Sema navaa 42,vinginevyo nibgekupora.
Nilisema mimi humu ndani mabossledi ni watatu tu
Shunie,lamomi na udugu wakeπ₯π₯π
Na abortion juu [emoji1787][emoji1787]
Hamna ww mzuriKweli bwana simu tu mdogo wangu
Huyo atakuwa wa bush mwenzetu anayekaa store
Amezoea kuona mikoba mnadani
Kumbe kuna mazito humu. Depal njoo uniambieπππBwanaah achana na kuabort na ukimwi nilipewa nilisoma shots na kabla ya hizo nilishaletewagwa na ninazo mpaka leo kaongea yeye pm kwa mtu eti nataka kuweka thread sijui tumseme mwanaume ana ukimwi
[emoji1787][emoji1787]mimi huyu nimuwekee thread ya nini sasaa ngoja siku vinipande nitazipost
View attachment 2927057Hii Depal aliona[emoji23][emoji23][emoji23].
Ila yule mtu [emoji1787][emoji1787]
Kumbe ilikuwa ni status? Sa ikamfikiaje
ππππ wifi langu hiloooView attachment 2927057Hii Depal alionaπππ.
View attachment 2927057Hii Depal aliona[emoji23][emoji23][emoji23].