Pole sana mamyWaje nawakaribisha,kuanzia next month nipo free.
Nilikuwa na hekaheka za msiba
Ndugu yetu niliyekuwa nakesha naye hospital alikata kamba..lile wenge.
Mambo yakawa mengi,muda mchache.
Mungu alishalilipaππππ wakirudi tena utakuwa munkari ushaisha nkamu, wee kiwashe watag hapa uwachachue usikae na deni.
[emoji1787][emoji1787] Humu hakuna kuogopanaAh kuna siku Lamomy aliandika kitu nikacheka sbb kilinichekesha sana. So nikamkwoti La momy. Kumbe aliziona [emoji1787][emoji1787]
Usiku naona vaga jipya
Hee kucheck,, kauli zinasema tunaogopa [emoji1787][emoji1787] nikasema hiiiiihiii,, nile nishibe niwe nakuja jf stress free
Pole sana mamy
ππππ weeeh!! Ilikuwa kinini iko jomooniiAh kuna siku Lamomy aliandika kitu nikacheka sbb kilinichekesha sana. So nikamkwoti La momy. Kumbe aliziona π€£π€£
Usiku naona vaga jipya
Hee kucheck,, kauli zinasema tunaogopa π€£π€£ nikasema hiiiiihiii,, nile nishibe niwe nakuja jf stress free
Pole nkamu Mungu amrehemu apumzike mahali pema.!! Ndiomana ulipoa maskiniWaje nawakaribisha,kuanzia next month nipo free.
Nilikuwa na hekaheka za msiba
Ndugu yetu niliyekuwa nakesha naye hospital alikata kamba..lile wenge.
Mambo yakawa mengi,muda mchache.
Lameckagustino π€£π€£π€£ππππ weeeh!! Ilikuwa kinini iko jomoonii
Huku tuhangaike namna gani tunamrudisha kwake Songwe huko marehemu maana alitufia Dar.Pole nkamu Mungu amrehemu apumzike mahali pema.!! Ndiomana ulipoa maskini
PoleniHuku tuhangaike namna gani tunamrudisha kwake Songwe huko marehemu maana alitufia Dar.
Huku nije tena kuhangaika na watu waliokosa kazi tena hata siwajui
Hawaji direct kishujaa,wanakuja na id ngeni.
Tena nyie watu ambao huwa hamjibu ndio mnakuwaga hatariπ€£π€£π€£ Lamomy anajua
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ya nini kujipa shida unapiga kwenye mshonoTena nyie watu ambao huwa hamjibu ndio mnakuwaga hatari
Mna vijembe vyenu classic
Unashangaa mtu anachat anacheka tu huku anapiga vijembe vya maana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Siji sahau Shunie anajiongelesha
Mara huyoo katupia picha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji848]
Yaani hasweat kabisa kubishana
Na nyie wengine mna vijembe vibaya
Hadi unamuonea mtu huruma
Hii style yenu ni balaa na nusuπππ[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ya nini kujipa shida unapiga kwenye mshono
Hii style yenu ni balaa na nusuπππ[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ya nini kujipa shida unapiga kwenye mshono
Nitafute hela kwa nguvu nije na jf kubishana na watu kwa nguvu [emoji1787][emoji1787]Hii style yenu ni balaa na nusu[emoji23][emoji23][emoji23]
Unakuta tu watu wanacheka aisee
Noma sana
Hawatumii miguvu hata
Huo mchezo nimeacha πTena nyie watu ambao huwa hamjibu ndio mnakuwaga hatari
Mna vijembe vyenu classic
Unashangaa mtu anachat anacheka tu huku anapiga vijembe vya maanaπ€£π€£π€£π€£π€£
Siji sahau Shunie anajiongelesha
Mara huyoo katupia pichaπππππ€
Yaani hasweat kabisa kubishana
Na nyie wengine mna vijembe vibaya
Hadi unamuonea mtu huruma
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huo mchezo nimeacha [emoji23]
Baada ya kuona mtu haridhiki,, kutwa kuji update inahusu.
Matumizi mabaya ya nguvu ππππNitafute hela kwa nguvu nije na jf kubishana na watu kwa nguvu [emoji1787][emoji1787]
πππππHuo mchezo nimeacha π
Baada ya kuona mtu haridhiki,, kutwa kuji update inahusu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]