Toa umbea hapa ππ€£π€£πππππ
Sijaelewa ndugu mjumbe
Fafanua tuone
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nacheka mimiSasa unabaki kushangaa
Una shida gani ingine na makabichi uko nayo unayapasha msichana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Toa umbea hapa ππ€£π€£
ππππ ndio vzuri sasaIla umbea kipaji jamaniπ€£
Akiyanani naona sielewi
Wacha bandama li enjoyyy[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nacheka mimi
π€£π€£π€£π€£ Jamani mimi navimba najua nyie mpooo ndugu zanguu....ule Uzi Kuna mtu alinifanya nishindwe kunyamaza bwanaπ€£π€£π€£Na mkwanja ganiii [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] vicoba vinatusaidia halafu nilimuona shangazi Joannah sehemu akiii siku akipigwa sitamgombelezea
ππππ aiseee!! Halafu kuanzia pale ndio niliona huu ufala sasa, tunaanza kupandana vichwaniLameckagustino π€£π€£π€£
Lucas,Lucas,Lucas,Luka,Luka,Lukaπ€
Kwakweli kuna muda unapotezea, mi naamini mtu aliyejipanga kugombana haji na id nyingine..!! Mi nikiona jungu nimepigwa linanihusu namkwoti hapo hapo mwenzangu ππππHuku tuhangaike namna gani tunamrudisha kwake Songwe huko marehemu maana alitufia Dar.
Huku nije tena kuhangaika na watu waliokosa kazi tena hata siwajui
Hawaji direct kishujaa,wanakuja na id ngeni.
Hivi ni serious? Nilikuta notification kanifollow..ππππ aiseee!! Halafu kuanzia pale ndio niliona huu ufala sasa, tunaanza kupandana vichwani
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kwahiyo dada unavimba unatutegemea sisi eenh yaani nilipita nikacheka sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Jamani mimi navimba najua nyie mpooo ndugu zanguu....ule Uzi Kuna mtu alinifanya nishindwe kunyamaza bwana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hivi ni serious? Nilikuta notification kanifollow..
Siamini macho yangu mie jaman π€£π€£[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
π€£π€£π€£π€£Naringaaa najua Nina watu kama yanga!!!!!Kuna shoga yako ananivurugaga kichwa ndio maana nikamchagua Depalππππ wapi uko??? Yule bana siku hizi kachachuka mwenyewe namshangaa!!
Anatafuta wamchachue niingilie nipewe ban hana lolote..!! Ananijua kuvumilia siwezi nikiona anagombana na mtu nanunua ugomvi
π€£π€£π€£π€£Kimsingi mi mabomu siyawezii,ila najua ukiwepo Shunie Lamomy Depal Missy Gf nikimuongeza na da mau Unique Flower jamani mwanafamilia mwenzenu nashambuliwa mtashindwa kunisaidia kweli?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kwahiyo dada unavimba unatutegemea sisi eenh yaani nilipita nikacheka sana
Ila Joh [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kimsingi mi mabomu siyawezii,ila najua ukiwepo Shunie Lamomy Depal Missy Gf nikimuongeza na da mau Unique Flower jamani mwanafamilia mwenzenu nashambuliwa mtashindwa kunisaidia kweli?
π€£π€£π€£π€£π€£Yesu akutunzeeeeKesi inanunuliwa bila discount π€£π€£π€£