Good morning.Good morning Active
πππ Akhu! Mi nna itel picha zina ukungu tupu labda ndiomana naonekana jau
Nakudai ujueGood morning.
Au tulie kinyaki mpk ofisi za JF nkamu??
Active ndugu yangu mbona mimi binti Sayuni sijawahi kuwa na dhambi ila mmenitoa peponi?? Eti malaika wa zamu nini mbaya?? πGood morning.
Utaniua, mbona nishatuma tokea kitambo.Nakudai ujue
Nakudai selfie
Kwani wewe uongo umeanza lini jamani?
π€£π€£π€£π€£ Sasa nkamu mbona hueleweki?? Huku unanipepea halafu unaniitia nyuki waningβate tena!!Active njoo huku
Watu wa iphone wanatudhihaki
Kwahiyo umenipa ban ili uselfike nisikuone? πUtaniua, mbona nishatuma tokea kitambo.
Uongo haukupendezi ujueπ’Utaniua, mbona nishatuma tokea kitambo.
Juzi nilimpa kapu la mayaiAu tulie kinyaki mpk ofisi za JF nkamu??
Ngoja niandae fuko la parachichi na matoke niwapelekee km zawadi ya kunipa ban waone aibu ππππ
Mbona wengine keshawafunguliaKwahiyo umenipa ban ili uselfike nisikuone? π
Wee hii haikubaliki tupia hapa tuone tena upite naked
Hawezi kukupa banππ€£π€£π€£π€£ Sasa nkamu mbona hueleweki?? Huku unanipepea halafu unaniitia nyuki waningβate tena!!
Na ngunyani nkamu kipindi chake hiki πππ
Kumbe?? π
Ila kweli mbona kuna wengine waharibu mijadala wazoefu nimewaona na wanatamba jamani.!
ππππ maneno yako yanaanza kunichekesha ujue!! Eti manini??Maharamia wenzio wote walisharudi
Akuachie na wewe
Kesho nitamchumiaNa ngunyani nkamu kipindi chake hiki πππ
Bado mchele mpya wa kyela na kambale.. ashindwe yeye tu!!
Mmmh hachelewi kufuta Uzi,tukae Kwa kutuliaπππππππ kiranja anapiga nyundo utosini
π€£π€£π€£π€£π€£Nimeshajua kumbe sijui kabisaaππππ hapo chacha utajua hujui