Mention someone without any reason just to disturb them

Mention someone without any reason just to disturb them

Ofisi ikae mbade serious? tunataka asubuhi tukiamka tunakutana na waziri mkuu au makamo anafanya jogging tafuta hayo maeneo sasa, changamka 🤣🤣🤣
Mbande si ndio kile Kijiji tunakulaga Mbuzi kama tunatoka mikoa ya Kanda maalumu?Sasa si ni karibu na kongwa jamani😁😁
 
Ofisi ikae mbade serious? tunataka asubuhi tukiamka tunakutana na waziri mkuu au makamo anafanya jogging tafuta hayo maeneo sasa, changamka 🤣🤣🤣
Unataka tuwe wageni bungeni Nini 😂😁
 
😂😂😂Usitetemeke Mimi na yeye na hatuna baya
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hivi nimesoma vizuri au wewe na yeye ni mwili mmoja na hamna baya nimesomaje mimi🤣🤣🤣 Hope urassa Hope urassa njooo njooo uache kupita pita odo case closedd
Mbande si ndio kile Kijiji tunakulaga Mbuzi kama tunatoka mikoa ya Kanda maalumu?Sasa si ni karibu na kongwa jamani😁😁
🤣🤣🤣 hapo hapo kwenye mbuzi Imagine, eti utafikiri nilimwambia ofisi ni ya mbuzi, lakini popo umeona wa kutoka mikoa ya kanda maalumu tu wapitaji hapo 🤣🤣
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hivi nimesoma vizuri au wewe na yeye ni mwili mmoja na hamna baya nimesomaje mimi🤣🤣🤣 Hope urassa Hope urassa njooo njooo uache kupita pita odo case closedd

🤣🤣🤣 hapo hapo kwenye mbuzi Imagine, eti utafikiri nilimwambia ofisi ni ya mbuzi, lakini popo umeona wa kutoka mikoa ya kanda maalumu tu wapitaji hapo 🤣🤣
😂😁
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hivi nimesoma vizuri au wewe na yeye ni mwili mmoja na hamna baya nimesomaje mimi🤣🤣🤣 Hope urassa Hope urassa njooo njooo uache kupita pita odo case closedd

🤣🤣🤣 hapo hapo kwenye mbuzi Imagine, eti utafikiri nilimwambia ofisi ni ya mbuzi, lakini popo umeona wa kutoka mikoa ya kanda maalumu tu wapitaji hapo 🤣🤣
Dah mwili Mmoja Tena?🤣🤣🤣Sasa naona umeamua kumchokoza mywang Tresor Mandala Kuna mtu anakuchimba huku
 
Back
Top Bottom