Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
😂😂😂Usitetemeke Mimi na yeye hatuna bayaHuyo ni Senior staff kwenye secta yetu ya ulinzi ukimtaja hadi natetemeka 🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Usitetemeke Mimi na yeye hatuna bayaHuyo ni Senior staff kwenye secta yetu ya ulinzi ukimtaja hadi natetemeka 🤣🤣
Kwa hiyo upo kigamboni,Mwanza, Dodoma, Zanzibar ama unanimix😁Cheka huku ndani ndani vipo kibao
Nakaa kigamboni Zanzibar naendaga kula Raha tuKwa hiyo upo kigamboni,Mwanza, Dodoma, Zanzibar ama unanimix😁
Mbande si ndio kile Kijiji tunakulaga Mbuzi kama tunatoka mikoa ya Kanda maalumu?Sasa si ni karibu na kongwa jamani😁😁Ofisi ikae mbade serious? tunataka asubuhi tukiamka tunakutana na waziri mkuu au makamo anafanya jogging tafuta hayo maeneo sasa, changamka 🤣🤣🤣
Eeeeeehhhh hutaki mchezo Kijana! vizuri sanaNakaa kigamboni Zanzibar naendaga kula Raha tu
Mwanza na Dodoma hapo nafanya utani tu 😂😁Kwa hiyo upo kigamboni,Mwanza, Dodoma, Zanzibar ama unanimix😁
Amen na iwe hivyo....Tajiri mukubwa mshamba_hachekwi
Amen mukubwaAmen na iwe hivyo....
Kabisa kutembea muhimu sanaEeeeeehhhh hutaki mchezo Kijana! vizuri sana
Unataka tuwe wageni bungeni Nini 😂😁Ofisi ikae mbade serious? tunataka asubuhi tukiamka tunakutana na waziri mkuu au makamo anafanya jogging tafuta hayo maeneo sasa, changamka 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hivi nimesoma vizuri au wewe na yeye ni mwili mmoja na hamna baya nimesomaje mimi🤣🤣🤣 Hope urassa Hope urassa njooo njooo uache kupita pita odo case closedd😂😂😂Usitetemeke Mimi na yeye na hatuna baya
🤣🤣🤣 hapo hapo kwenye mbuzi Imagine, eti utafikiri nilimwambia ofisi ni ya mbuzi, lakini popo umeona wa kutoka mikoa ya kanda maalumu tu wapitaji hapo 🤣🤣Mbande si ndio kile Kijiji tunakulaga Mbuzi kama tunatoka mikoa ya Kanda maalumu?Sasa si ni karibu na kongwa jamani😁😁
😂😁🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hivi nimesoma vizuri au wewe na yeye ni mwili mmoja na hamna baya nimesomaje mimi🤣🤣🤣 Hope urassa Hope urassa njooo njooo uache kupita pita odo case closedd
🤣🤣🤣 hapo hapo kwenye mbuzi Imagine, eti utafikiri nilimwambia ofisi ni ya mbuzi, lakini popo umeona wa kutoka mikoa ya kanda maalumu tu wapitaji hapo 🤣🤣
Dah mwili Mmoja Tena?🤣🤣🤣Sasa naona umeamua kumchokoza mywang Tresor Mandala Kuna mtu anakuchimba huku🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hivi nimesoma vizuri au wewe na yeye ni mwili mmoja na hamna baya nimesomaje mimi🤣🤣🤣 Hope urassa Hope urassa njooo njooo uache kupita pita odo case closedd
🤣🤣🤣 hapo hapo kwenye mbuzi Imagine, eti utafikiri nilimwambia ofisi ni ya mbuzi, lakini popo umeona wa kutoka mikoa ya kanda maalumu tu wapitaji hapo 🤣🤣
Ukiona hivyo na mzigo upo😌Kabisa kutembea muhimu sana
Unaendelea kunivuruga popo na hii mywang 🤣🤣🤣 nimegundua shida najipa mimi tu waaah!Dah mwili Mmoja Tena?🤣🤣🤣Sasa naona umeamua kumchokoza mywang Tresor Mandala Kuna mtu anakuchimba huku
Duh 🤣😂😁Unaendelea kunivuruga popo na hii mywang 🤣🤣🤣 nimegundua shida najipa mimi tu waaah!
Hahahahaha nani huyo ananichimba ? Hao nakuachia wewe ..😂😂Dah mwili Mmoja Tena?🤣🤣🤣Sasa naona umeamua kumchokoza mywang Tresor Mandala Kuna mtu anakuchimba huku