Mention someone without any reason just to disturb them

Natania tu,

Unataka kuwa kama Jadda inabidi ujikaze usiwe muoga muoga, sawa?
Haha huu ni ujasiri wa kwenye keyboard tu mdogo wangu usidanganyike hata mimi ni muoga sana basi tu, ni vile huku jf watu wanamdefine mtu kwa kuangalia muandiko wake ndio maana wengi wanadhani mimi kauzu, ila ninaofahamiana nao nje ya hapa wanajua mimi ni mtu wa aina gani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…