Nampigia debe Joannah kwa Tresor MandalaKadi za michango ya Nani?? Tapiga mtu
Namtaka first born huyo mwenye 42years nishakwambia😎Sijagoma. Wakikukataa watoto najipigia pande mwenyewe.
Mchukue last born
Nyie nishawaona mnapendana ila sasa tresor ni domo zege🤸Yaani sio kaniota,sema "TUMEOTANA" na Mimi nimeamka namuwaza sana😁😁😁
Itakua ni faiza mzee mwenzako.Hapana. Ninaye mtaka unamjua.
Unataka nimwage Mchele kwenye kenge wengi
First born mjanja mjanja atakusumbua.Namtaka first born huyo mwenye 42years nishakwambia😎
Mnampiga nani mkuu😅?Kadi za michango ya Nani?? Tapiga mtu
Basi siwataki wote!First born mjanja mjanja atakusumbua.
Chukua last boni yeye Kwanza mdomo mzto ndio maana nampambania kijana wangu
🤣🤣🤣🤣🤣Itakua ni faiza mzee mwenzako.
🤣🤣🤣PM zetu ziko waziNyie nishawaona mnapendana ila sasa tresor ni domo zege🤸
Au fungua pm aje
Utamchukua Kwa mashartBasi siwataki wote!
Basi unamtaka joannah🤣🤣🤣🤣🤣
Hahah wewe na faiza si n MTU mmoja weye Id mbili
Masharti ganiUtamchukua Kwa mashart
Ngoja nimrahishishie Kazi tresor🤣🤣🤣PM zetu ziko wazi
Kumbe pm umefunga ila yeye anaingia muda wowote anaojisikia!🤭🤣🤣🤣PM zetu ziko wazi
Johannah Mali za wakubwa.Basi unamtaka joannah
🤣🤣🤣How?kwani Mywangu kafanyaje mbona Leo mnamsakama sana?Ngoja nimrahishishie Kazi tresor